Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

Nawashukuru wana JF: Siku ya harusi yangu

January 2016, I mean this year.
Mkuu, Jan 2016 hadi sasa si mwezi mmoja tu tangu mfahamiane? Amekuwa lini rafiki kabla hamjawa wachumba? Hudhani kuwa mmefanya haraka mno?
Anyway, kila lenye heri!!!
 
Teh teh..Mkuu huyo Mr right ni nani..Asije kuwa sumbai au Raimundo ...Mana hawa ni mafisadi wa mapenzi

Mkuu strategy yangu ya kukuachia rubii haijasaidia, naona unanifata huku kwingine sasa.

Ngoja nirudishe majeshi, maana umenibembeleza sana nijitoe na nimekubali lakini naona hujashukuru.

rubii ninarudi kwenye maombi yetu.

Teh..Usije ukawa umemdanganya dada wa watu kwamba utamuoa wakati we una mke..

Huyo rubii umeshamshindwa kijana..

Omba tu nisimsimulie rubii jinsi ulivyoniomba nijitoe, tena eti nimwambie nimeshindwa nakuachia.

Ha ha haaaa Asante kwa tahadhari

Khaaaah...et babe Kaboom yana ukweli??
Shikamoo Kaboom
 
Mkuu, Jan 2016 hadi sasa si mwezi mmoja tu tangu mfahamiane? Amekuwa lini rafiki kabla hamjawa wachumba? Hudhani kuwa mmefanya haraka mno?
Anyway, kila lenye heri!!!
Usiwe mvivu wa kusoma ktk kujibu maswali ya waliokutangulia nimeeleza kila kitu
 
Aisee,Dada mbona haraka huogopi wewe, hata dating miezi ya kwanza huwa mitamu mkizoeana mambo yatabadilika...unless unaolewa kutoa nuksi...all the best
 
Asee.....ngoja Na mimi niandike tangazo!!!

Hongera classmate...!
Hahahaa ni kwanini nilihisi huyo mr right ni wewe, habari kama hizi Dada ako nizijulie jeiefu kweliii....hebu jitetee
 
Aisee,Dada mbona haraka huogopi wewe, hata dating miezi ya kwanza huwa mitamu mkizoeana mambo yatabadilika...unless unaolewa kutoa nuksi...all the best
Kutoa nuksi ndiyo nini? Ndoa haijaribiwi ninachofanya nina uhakika nacho...isitoshe kuolewa na kuachwa si kutoa mikosa kwangu mimi nikongeza nuksi..I know what I do.
 
Kutoa nuksi ndiyo nini? Ndoa haijaribiwi ninachofanya nina uhakika nacho...isitoshe kuolewa na kuachwa si kutoa mikosa kwangu mimi nikongeza nuksi..I know what I do.
kuolewa nako pia maamuzi magumu hayo
 
Bi. Harusi mtarajiwa unajishebedua usikute hata mahari haijatoka,
Upo over 40 nini?
Maana mmh sio kwa kuchanganyikiwa huku.
 
Back
Top Bottom