Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Nina mashaka na huyo mwamba asee komanya siokweli huyu
![]()


atajua yeye haya mambo hayo now kawaida sana tunapishana nao wengi sanaNina mashaka na huyo mwamba asee komanya siokweli huyu
![]()


atajua yeye haya mambo hayo now kawaida sana tunapishana nao wengi sanaPoint nzuri, maana ukiangalia wapo wenye shida na hawajiuzi, ni tabia inayotokana na malezi mabovu pia roho chafuUgumu na dhiki za maisha si kigezo cha mtu kufanya uhalifu.
Wizi, udokozi, ukibaka, umalaya, ukahaba ni ishu ya tabia ( roho ).
Ukimpa kibaka au malaya milioni 20 mpe miezi miwili tu hata buku hana.
Pana watu wana maisha magumu kuliko hao na wanakaza hadi wanatoboa.
Inagawa anachosema sio kweli! Dhambi ya Kwanza ya Binadamu ni kiburi tunda alilokula eve na kumgawia Adam ilikua ni kiburi (kukataa agizo la Mungu) ukisoma biblia dhambi ya Adam na Hawa inakuja Baada ya Mungu kuwa ameshawapa Maagizo ya kuzaa na kuujaza ulimwengu pamoja na kuvitiisha viumbe vyote!Kudadeki ivi unawazaga nini tajir yangu![]()
Umalaya ni tabia.Unazungumziaje mwanamke mwenye kazi yake au biashara na anapata kipato kizuri tu lakini bado anajiuza?
Kwahiyo kuongezeka kwa kasi kwa hayo madanguro ni matokea ya kuongezeka kwa domo zege?Domo zege mostly
Wadada wengine wanajifanya classic wapambanaji kumbe nao pia wanaojiuza hasa wenye biashara viduka vya flem za kuchomelewaWengne wanabiashara mbona na papuchi wanauza
Asante sanaWadada wengine wanajifanya classic wapambanaji kumbe nao pia wanaojiuza hasa wenye biashara viduka vya flem za kuchomelewa
Wanakupa mpaka kwa mparange na U.T.I Kama bonusHao dhiki na njaa zao ndio maana wanaigana yaani kafika mjini hana pa kuanzia anakaribishwa na kahaba limoja linamfundisha kazi kwa kumuuza
Wengi wao wachafu sana na wanasambaza magonjwa tu sio wa kuwapa mda wako mkuu


Na ndo chanzo cha single mothersSahihi a ndio maana wasichana wengi wamejikuta wakiwa na tamaa sana ya mali na mwisho kuzalishwa hovyo na kuona kama Ndoa na mapenzi ni kitu kibaya.
Wanaone wenzao wakiwa na maisha mazuri kwa vivuli vya ujasiriamali n.k
Sahivi wamekuwa wengi sanaNa ndo chanzo cha single mothers
Wengi biashara zao ni za kufadhiliwa na mabwana 90%.Wadada wengine wanajifanya classic wapambanaji kumbe nao pia wanaojiuza hasa wenye biashara viduka vya flem za kuchomelewa
Umemaliza mkuuPenda hela kwa sababu hela ndo zinaendesha maisha yetu.
Lakini ubinadamu usikutoke , kwamba hela ndo kila kitu chako cha kwanza, bila kujali kuna uhai na maisha ya watu wengi.
Usiziabudu maana ukiziabudu unaweza kufanya kitu chochote kile.
Kwahiyo mimi nawaasa pendeni hela kwasababu zinarun maisha yetu lakini tuwe na mipaka kwenye kuzitafuta na namna tunavyotaka zituendeshee maisha yetu.
Tukumbuke kuna kesho yake ...
Tamaa mbele mauti nyuma...
We uza jicho tuNingekuwa mwanamke ningekuwa najiuza tu... hizi shida kwan mi nazitaka!
Hapa nimekumbuka hadithi ya hatia na kituNa akishapata hiyo H.I.V anasumbua ukoo mzima huku akihangaika jinsi anavyotengwa.
Wakati wa kula na kuliwa mbususu anajiona mjanja sana


Mkuu wewe huogopi UKIMWI? Kama hujaukwaa ni lazima uogope ila ukishaumia utaogopa nini tena?Hivi hii dunia kunawatu bado wanaogopa UKIMWI?!![]()
Wauzaji na wanunuzi wote ni ubatili mtupuJaribu kuwaongelea wanunuzi nao basi?
Kumbuka hiyo biashara inafanyika kwasababu wateja wapo
Mbona wapo tuUngeweka na machimbo yao ili tuwafate tuwaulze kwann wanajiuza