Ningekuwa mwanamke ningekuwa najiuza tu... hizi shida kwan mi nazitaka!
Nahitaji kuwa mwanamke kwanza.Hila bado ujachelewa nenda GSM pale kajiuze tu
Na akishapata hiyo H.I.V anasumbua ukoo mzima huku akihangaika jinsi anavyotengwa.Na hatimaye wanaishia kupata magonjwa na kwenda kuwasumbua wazee wao huko vijijini
Unaogopa nini Mkuu kuna madangulo ya wanaume pia🤣🤣Nahitaji kuwa mwanamke kwanza.
Hivi hii dunia kunawatu bado wanaogopa UKIMWI?!🤣🤣🤣🤣Na akishapata hiyo H.I.V anasumbua ukoo mzima huku akihangaika jinsi anavyotengwa.
Wakati wa kula na kuliwa mbususu anajiona mjanja sana
Wateja wao ni kinanani?😳Unaogopa nini Mkuu kuna madangulo ya wanaume pia🤣🤣
Jaribu kuwaongelea wanunuzi nao basi?Basi itambulike rasmi maana tunakosa Sana mapato huko
Ungeweka na machimbo yao ili tuwafate tuwaulze kwann wanajiuzaHapa nazungumzia wale wanawake ambao huwalipisha pesa wanaume kabla au baada ya kuwapa papuchi
Huwaga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu wanawake wanaojiuza
1. Je,Wamejaribu kila biashara zikawashinda hivyo wameamua kujiuza wenyewe?
2.Wameuza Mali zao zote mpaka wamebakisha nguo zao tu hivyo wameamua kujiuza wenyewe?
3.Wanaogopa biashara za kujumua na kuuza bidhaa kwamba watafilisika hivyo wameamua kujiuza wenyewe?
4.Hawakopesheki na mabenki au taasisi zingine za mikopo wakaanzisha biashara na ujasiriamali hivyo wameamua kujiuza wenyewe?
5.wamejipa thamani ya bidhaa ndogo ndogo kama vile sigara,unga,kilo ya mchele,fungu la bia n.k? kwani wengine wanajiuza mpaka shilingi aftano.
6.Ikiwa wamejipa thamani kama bidhaa zingine ambazo zinalipiwa Kodi na kuiingizia nchi mapato kwanini na wenyewe wasilipishwe Kodi kulingana na dau lao wanalojiuzia?
Karibuni kwa michango
Mimi nilinunua mara 2 lkn kilichonikuta baada ya hapo ni pressure kupanda ingali mi bado mdogo asee nilipiga maombi Kama kichaaa looo baada ya wiki 6 ndo ikashuka lkn nilipata funzo Wana maroho ya ajabu asee achana na magonjwa 🤺Mimi kuna siku nilijaribu kwenda chimbo fulani kununua malaya,huezi amini mkuu jogoo hakusimama jambo ambalo si kawaida kwangu,nikaanza kuumwa tumbo nikaingia chooni,niliharisha Sana na kutapika. Niliporudi chumbani kwa Yule Malaya nilimkuta amevua nguo yupo uchi wa mnyama,akajaribu kunichezea ili nimtafune lakini wapi,nikatoa 10000 nikampa nikaenda zangu.
Nahitaji kuwa mwanamke kwanza.
Biashara hiyo unaweza kukuta wauzaji 10 mnunuzi mmoja. Tofauti na baishara nyingine muuzaji mmoja wanunuzi 100Jaribu kuwaongelea wanunuzi nao basi?
Kumbuka hiyo biashara inafanyika kwasababu wateja wapo
Mtu ambaye kwa dhati kabisa haogopi ukimwi huyo mkimbie ana roho ya simbaMimi nilinunua mara 2 lkn kilichonikuta baada ya hapo ni pressure kupanda ingali mi bado mdogo asee nilipiga maombi Kama kichaaa looo baada ya wiki 6 ndo ikashuka lkn nilipata funzo Wana maroho ya ajabu asee achana na magonjwa 🤺
Wake za watu 🤮🤮🤮🤮 very cheapWanaojiuza vipi jumla( Walioolewa) au rejareja( wa njiani) ?, hii kitu inategemea na unaiangalia ukiwa umekaaje….
Anyway wapo tangu enzi za vizazi vilivyoanzisha ustaarab tunaouishi sasa hivi.