Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

1)Mwanamke aliyeolewa anafanya mapenzi na mumewe. Mumewe anampatia mahitaji ya msingi na kumtunza.

2)malaya anafanya mapenzi na Wanaume tofauti tofauti ili apate fedha za kujihudumia.

Kwa hiyo wote wanafanya mapenzi ili wahudumiwe sema tu huyo wa kwanza ana mkataba wakati huyu mwingine ni ndondo.
 
Kuna mke wa mtu anafanya Kazi ya kukusanya kodi zetu Mr wake nae ni mfanyabiashara Mkubwa tu wote Wana pesa,mijengo mikali,magari makali lakini akitulizi kipira kinamuwasha hatari kijana yeyeto tu handsome anapewa usajili anavaa jezi Uwanjani.
Aina hii si ishu ya uchumi ni spirit
Daslamu moja hiyo
 
Hii ni biashara kama biashara zingine ndio maana wameamua hivyo
Kuna nchi zingine ukimuita Malaya anakushtaki na ni walipa kodi wazuri tu
Wanajulikana na wamesajiliwa pia wanaenda hospital mara kwa mara kupimwa na kutibiwa
Wanazingatia afya zao
Ila kwa Waafrika ni tofauti wao ni waizi, wachafu, wanashirikiana na majambazi, wana maradhi sugu na yasiyopona
Wanakuambukiza makusudi, hawaendi hospital kujitibu


Hiyo ndio tatizo unaliona wewe kwa hao wa bongo ila kuna nchi utakuta madaraja yanajengwa kwa mchango wa kodi zao pia
Ahahaa kumbe hii midenga ya bongo inaiga tu
 
Mimi naowalaumu pia wanunuzi, tangu nizaliwe sijawahi kununua mwanamke katika maisha yangu , endapo kuna wengine wanajiuza na utawajua katika mahusiano yenu yaani akija kwako anataka aondoke napesa.
Mimi kuna siku nilijaribu kwenda chimbo fulani kununua malaya,huezi amini mkuu jogoo hakusimama jambo ambalo si kawaida kwangu,nikaanza kuumwa tumbo nikaingia chooni,niliharisha Sana na kutapika. Niliporudi chumbani kwa Yule Malaya nilimkuta amevua nguo yupo uchi wa mnyama,akajaribu kunichezea ili nimtafune lakini wapi,nikatoa 10000 nikampa nikaenda zangu.
 
1)Mwanamke aliyeolewa anafanya mapenzi na mumewe. Mumewe anampatia mahitaji ya msingi na kumtunza.

2)malaya anafanya mapenzi na Wanaume tofauti tofauti ili apate fedha za kujihudumia.

Kwa hiyo wote wanafanya mapenzi ili wahudumiwe sema tu huyo wa kwanza ana mkataba wakati huyu mwingine ni ndondo.
 
Nakubaliana na wewe mkuu lakini kwasasa wameenda mbali zaidi,unakuta mdada ana kazi yake au biashara na anapata kipato kizuri tu lakini bado anajiuza.pia mwingine unakuta kaolewa na mume wake anazingatia huduma na mahitaji mengine lakini pia anajiuza .lol
Hicho unachoona kama kazi nzuri au biashara ni zuga tu. Pesa anapata kwenye kuuza Nyapu
 
Hapa nazungumzia wale wanawake ambao huwalipisha pesa wanaume kabla au baada ya kuwapa papuchi

Huwaga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu wanawake wanaojiuza


1. Je,Wamejaribu kila biashara zikawashinda hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

2.Wameuza Mali zao zote mpaka wamebakisha nguo zao tu hivyo wameamua kujiuza wenyewe?
3.Wanaogopa biashara za kujumua na kuuza bidhaa kwamba watafilisika hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

4.Hawakopesheki na mabenki au taasisi zingine za mikopo wakaanzisha biashara na ujasiriamali hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

5.wamejipa thamani ya bidhaa ndogo ndogo kama vile sigara,unga,kilo ya mchele,fungu la bia n.k? kwani wengine wanajiuza mpaka shilingi aftano.

6.Ikiwa wamejipa thamani kama bidhaa zingine ambazo zinalipiwa Kodi na kuiingizia nchi mapato kwanini na wenyewe wasilipishwe Kodi kulingana na dau lao wanalojiuzia?

Karibuni kwa michango
Biashara haramu haina Kodi shekhe 😆😆
 
1)Mwanamke aliyeolewa anafanya mapenzi na mumewe. Mumewe anampatia mahitaji ya msingi na kumtunza.

2)malaya anafanya mapenzi na Wanaume tofauti tofauti ili apate fedha za kujihudumia.

Kwa hiyo wote wanafanya mapenzi ili wahudumiwe sema tu huyo wa kwanza ana mkataba wakati huyu mwingine ni ndondo.
NAKAZIA
 
Halafu imekuwa mbaya sana kwani role models wengi wa wanawake wanaokua wanajiuza lakini Wana kivuli cha kujifichia iwe kazi, biashara,muziki nk
Sahihi a ndio maana wasichana wengi wamejikuta wakiwa na tamaa sana ya mali na mwisho kuzalishwa hovyo na kuona kama Ndoa na mapenzi ni kitu kibaya.

Wanaone wenzao wakiwa na maisha mazuri kwa vivuli vya ujasiriamali n.k
 
Penda hela kwa sababu hela ndo zinaendesha maisha yetu.

Lakini ubinadamu usikutoke , kwamba hela ndo kila kitu chako cha kwanza, bila kujali kuna uhai na maisha ya watu wengi.

Usiziabudu maana ukiziabudu unaweza kufanya kitu chochote kile.

Kwahiyo mimi nawaasa pendeni hela kwasababu zinarun maisha yetu lakini tuwe na mipaka kwenye kuzitafuta na namna tunavyotaka zituendeshee maisha yetu.

Tukumbuke kuna kesho yake ...
Tamaa mbele mauti nyuma...
 
Back
Top Bottom