Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Mbona unamruhusu sasa
Siyo kwamba namruhusu mkuu.
Mwanamke ni kiumbe cha hovyo Sana asipojiuza jumla atajiuza rejareja.
Mfano wangu akija geto Leo akakupa tuta kwenye penalty box basi kesho jiandae kupigwa mzinga
Hiyo ni nini kama siyo ananiuzia?
Sema hii ni biashara ya Mali kauli
 
Ukahaba upo enzi na enzi ndugu zangu. Sababu za uwepo wake ni malezi yasiyo na maadili mazuri yanayopelekea hali ngumu ya maisha. Ukimuuliza mdada mmojammojakilichomfanya aingie kwenye hiyo biashara ni utagundua kuwa % kubwa ni ama walikuwa homeless kutokana na mazingira waliyozaliwa au ilikuja kutokea kama baadae kama ajali na wakakosa msaada na hivyo kushawishiwa au kushawishika kuingia humo wakiwa wameshakata tamaa.
 
Hii biashara ina ushetani mwingi sana, kuna dem alikuwa mzuri sana nikampa laki 7 kama mtaji aachane nw hiyo biashara, saa ngapi aitumie ile hela, tangu siku hiyo hawa watu sijawahi kuwaonea huruma hata siku moja
 
Majority ni wale wavivu tangu utotoni mwao. 99% ni uvivu wa kufanya kazi.
Kwani wanawake wanaojiuza ni wakina nani wanaotoa PESA kama siyo wanaume. Kusingekuwepo na wanaume wenye tamaa wasingekuwepo hawa wanawake KWA sababu kungekuwa hakuna wa kuwanunua. Mwanaume ni mdhaifu KWA hivyo vitu na mwanamke ni kiumbe kinachopenda raha, kutunzwa
 
Hapa nazungumzia wale wanawake ambao huwalipisha pesa wanaume kabla au baada ya kuwapa papuchi

Huwaga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu wanawake wanaojiuza

1. Je, Wamejaribu kila biashara zikawashinda hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

2.Wameuza Mali zao zote mpaka wamebakisha nguo zao tu hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

3. Wanaogopa biashara za kujumua na kuuza bidhaa kwamba watafilisika hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

4.Hawakopesheki na mabenki au taasisi zingine za mikopo wakaanzisha biashara na ujasiriamali hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

5.Wamejipa thamani ya bidhaa ndogo ndogo kama vile sigara,unga,kilo ya mchele,fungu la bia n.k? kwani wengine wanajiuza mpaka shilingi aftano.

6. Ikiwa wamejipa thamani kama bidhaa zingine ambazo zinalipiwa Kodi na kuiingizia nchi mapato kwanini na wenyewe wasilipishwe Kodi kulingana na dau lao wanalojiuzia?

Karibuni kwa michango
Mkuu washangae wanaonunua sio wanaojiuza. Wanunuzi ni watu wapumbavu zaidi kuliko wauzaji.
Hawa mbwa wanaonunua malaya Wana mapungufu vichwani mwao nikiwemo mimi.
 
How illegal na wakati ni mwili wake. Ukisema kiimani na maadili. Then hata sigara pombe kali zisiuzwe kabisa...maana zote haramu na Zina madhara
Sigara na pombe ni biashara halali labda sijui unazungumzia Sigara na pombe zipi pia Kuwa miili ni yao hakufanyi iwe legal
 
Hapa nazungumzia wale wanawake ambao huwalipisha pesa wanaume kabla au baada ya kuwapa papuchi

Huwaga najiuliza maswali yafuatayo kuhusu wanawake wanaojiuza

1. Je, Wamejaribu kila biashara zikawashinda hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

2.Wameuza Mali zao zote mpaka wamebakisha nguo zao tu hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

3. Wanaogopa biashara za kujumua na kuuza bidhaa kwamba watafilisika hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

4.Hawakopesheki na mabenki au taasisi zingine za mikopo wakaanzisha biashara na ujasiriamali hivyo wameamua kujiuza wenyewe?

5.Wamejipa thamani ya bidhaa ndogo ndogo kama vile sigara,unga,kilo ya mchele,fungu la bia n.k? kwani wengine wanajiuza mpaka shilingi aftano.

6. Ikiwa wamejipa thamani kama bidhaa zingine ambazo zinalipiwa Kodi na kuiingizia nchi mapato kwanini na wenyewe wasilipishwe Kodi kulingana na dau lao wanalojiuzia?

Karibuni kwa michango
Biashara yoyote yenye wateja lazima ishamiri. Siku wateja wakikosekana, biashara hufa yenyewe kifo cha asili. Kwa kuwa wanaume wa kuwanunua wapo na wataendelea kuwepo, usitarajie kuna siku biashara hii itakufa.
 
Kwani wanawake wanaojiuza ni wakina nani wanaotoa PESA kama siyo wanaume. Kusingekuwepo na wanaume wenye tamaa wasingekuwepo hawa wanawake KWA sababu kungekuwa hakuna wa kuwanunua. Mwanaume ni mdhaifu KWA hivyo vitu na mwanamke ni kiumbe kinachopenda raha, kutunzwa
Wewe ni wazi unafanya hii biashara ya kujiuza
 
Back
Top Bottom