Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Umemkosea Queen virgo kwa hii comment maana ameitoa kutoka upande wa akinamama wakati wewe mawazo yako ni ya wavulana. Ungekuwa umeoa ungemwelewa maana kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mwanamke katika suala hili. Kuna jamaa alisema kibuyu huyo ana mawazo ya kiutu uzima
 
millardayo-20230307-0001.jpg
 
Kuna malaya kwa siku make hadi laki moja lakini haachi. Kuna mmoja nilipiga naye stori, yeye anauza kupitia mitandao na hakai sehemu moja. Ni mtu wa kuhama hama mikoa mbalimbali. Akifika mkoa fulani anapanga guest ambayo analipa elfu 20 hadi 30 kwa siku bado chakula.
Kuna mke wa mtu anafanya Kazi ya kukusanya kodi zetu Mr wake nae ni mfanyabiashara Mkubwa tu wote Wana pesa,mijengo mikali,magari makali lakini akitulizi kipira kinamuwasha hatari kijana yeyeto tu handsome anapewa usajili anavaa jezi Uwanjani.
Aina hii si ishu ya uchumi ni spirit
Huyo siyo wale malaya wanajiuza, anafanya kwa starehe
 
Mimi kuna siku nilijaribu kwenda chimbo fulani kununua malaya,huezi amini mkuu jogoo hakusimama jambo ambalo si kawaida kwangu,nikaanza kuumwa tumbo nikaingia chooni,niliharisha Sana na kutapika. Niliporudi chumbani kwa Yule Malaya nilimkuta amevua nguo yupo uchi wa mnyama,akajaribu kunichezea ili nimtafune lakini wapi,nikatoa 10000 nikampa nikaenda zangu.
Jogoo kutosimama ni kawaida sana kwa malaya, bora hata huyo alikuchezea, wengine anakuhesabia sekunde tu na hapo ushampa chake.
 
Kuna malaya kwa siku make hadi laki moja lakini haachi. Kuna mmoja nilipiga naye stori, yeye anauza kupitia mitandao na hakai sehemu moja. Ni mtu wa kuhama hama mikoa mbalimbali. Akifika mkoa fulani anapanga guest ambayo analipa elfu 20 hadi 30 kwa siku bado chakula.

Huyo siyo wale malaya wanajiuza, anafanya kwa starehe
Hio laki moja ndogo mbona,zaidi uishia kula ,kuvaa, maendeleo hawana
 
Hiyo biashara wairasimishe tu Serikali ipate mapato.
Hiyo biashara haiwezi kukoma ipo miaka na miaka na itakuwepo.

Walipe kodi tu basi.
 
Kuna kipindi jamaa wa chadema waliambiwa watakamatwa kama machangudoa aisee
 
Hap uwa wanapata Raha mara mbili yaan uwezi kuwa malaya kama haupendi sana kugongwa ,ila pia kumbukwa wengine ni wanagongwa bure bila hata pesa hao NAO pia ni malaya mtaa mzima unakuta watu kumi washapiga ....TAFAKARI SASA HAPO
 
walipe kodi, walipa kodi ni wachache sana nchi hii wasajiliwe moja kwa moja. NB STDs ipo pabaya sana asikuambie mtu
 
Back
Top Bottom