Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 1,307
- 2,000
- Thread starter
- #161
Ndiyo hapo mkuuKinacho chukiza mamlaka ni kwamba bidhaa inauza alafuu muuzaji anapewa pesa na bado anarudi na bidhaa yake nyumbani...
Ndiyo hapo mkuuKinacho chukiza mamlaka ni kwamba bidhaa inauza alafuu muuzaji anapewa pesa na bado anarudi na bidhaa yake nyumbani...
Mkuu hata sukari na mafuta ya kupikia yana madharaKwanini hivyo viwili viwe legal wakati vina madhara kuliko BANGI
Waombe msaada tuone namna ya kuwasaidia ili waache kujiuzaNdiyo uwezo wao wa kutafuta pesa ulipofikia...
Tumechoka kuzika kilo mbiliNdiyo uwezo wao wa kutafuta pesa ulipofikia...
Well saidWanunuzi waangaliwe pia ili kukomesha biashara hii
Nakuunga mkono 100%Umasikini = Ujinga > Kutokujitambua > Kutokujithamini > Ukahaba.
Angalia akili zao utagundua hawako sawa.
Umemkosea Queen virgo kwa hii comment maana ameitoa kutoka upande wa akinamama wakati wewe mawazo yako ni ya wavulana. Ungekuwa umeoa ungemwelewa maana kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mwanamke katika suala hili. Kuna jamaa alisema kibuyu huyo ana mawazo ya kiutu uzima

Kwani umelipishwa bei gani mpaka ukawaza tunakosa mapatoBasi itambulike rasmi maana tunakosa Sana mapato huko
Huyo siyo wale malaya wanajiuza, anafanya kwa stareheKuna mke wa mtu anafanya Kazi ya kukusanya kodi zetu Mr wake nae ni mfanyabiashara Mkubwa tu wote Wana pesa,mijengo mikali,magari makali lakini akitulizi kipira kinamuwasha hatari kijana yeyeto tu handsome anapewa usajili anavaa jezi Uwanjani.
Aina hii si ishu ya uchumi ni spirit
Jogoo kutosimama ni kawaida sana kwa malaya, bora hata huyo alikuchezea, wengine anakuhesabia sekunde tu na hapo ushampa chake.Mimi kuna siku nilijaribu kwenda chimbo fulani kununua malaya,huezi amini mkuu jogoo hakusimama jambo ambalo si kawaida kwangu,nikaanza kuumwa tumbo nikaingia chooni,niliharisha Sana na kutapika. Niliporudi chumbani kwa Yule Malaya nilimkuta amevua nguo yupo uchi wa mnyama,akajaribu kunichezea ili nimtafune lakini wapi,nikatoa 10000 nikampa nikaenda zangu.
Hio laki moja ndogo mbona,zaidi uishia kula ,kuvaa, maendeleo hawanaKuna malaya kwa siku make hadi laki moja lakini haachi. Kuna mmoja nilipiga naye stori, yeye anauza kupitia mitandao na hakai sehemu moja. Ni mtu wa kuhama hama mikoa mbalimbali. Akifika mkoa fulani anapanga guest ambayo analipa elfu 20 hadi 30 kwa siku bado chakula.
Huyo siyo wale malaya wanajiuza, anafanya kwa starehe
Laki moja ni nyingi sema ndio hivyo wana watu wanaowategemea, wanasomesha watoto shule za gharama kubwaHio laki moja ndogo mbona,zaidi uishia kula ,kuvaa, maendeleo hawana
Hao ni wale first class,kuna mmoja ni msanii anauza dollar 2000.Laki moja ni nyingi sema ndio hivyo wana watu wanaowategemea, wanasomesha watoto shule za gharama kubwa