Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Nawashangaa Sana wanawake wanaojiuza

Kinacho chukiza mamlaka ni kwamba bidhaa inauza alafuu muuzaji anapewa pesa na bado anarudi na bidhaa yake nyumbani...
 
Umasikini = Ujinga > Kutokujitambua > Kutokujithamini > Ukahaba.
Angalia akili zao utagundua hawako sawa.
 
Wewe ni wazi unafanya hii biashara ya kujiuza
Umemkosea Queen virgo kwa hii comment maana ameitoa kutoka upande wa akinamama wakati wewe mawazo yako ni ya wavulana. Ungekuwa umeoa ungemwelewa maana kuna tofauti kubwa kati ya Mwanaume na mwanamke katika suala hili. Kuna jamaa alisema kibuyu huyo ana mawazo ya kiutu uzima
 
Kabla mtu hajaoa hajui umuhimu na thamani ya hao akinamama! Kwenye ndoa kuna vikwazo vingi vya kupata Njia sahihi za kumimina vilivyojaa katika kibuyu. Kabla ya kuzoea kuvitoa katika k ya mtu, ni rahisi kuota vikatoka au kupiga punyeto vikatoka! Lakini ukizoea kuvitolea katika mwili wa binadamu, huwezi kurejea tena katika hizo njia. Hapo kama una mapenzi ya dhati na mkeo, machangudoa ndiyo mwokozi wako. Kuchepuka kuna gharama sana
 
Back
Top Bottom