Nawaita wataalamu wa ndoto, wachawi , wajuvi wa mambo, wadadisi, wanazuoni, mafundi wa masuala ya kiroho. Mnipe jawabu ya hili jambo

Utumishi wako fair

JF-Expert Member
Nov 12, 2021
431
1,335
Suala langu:

Nimekuwa nikisikia Mengi kuhusu ndoto, Wengine mara oohh sijui mlango wa kuyaona yaliyopo nyuma ya Dunia, Mambo yasiyoonekana etc.

Wengine wanasema kuwa ndoto ni matukio ambayo tunayafanya kila siku...yanajikusanya.

Swali langu:. Kwanini Hajawahi tokea Binadamu yoyote akaota ndoto yupo chooni anaoga?

Hajawahi tokea na hatakuja kutokea. Sasa wajuvi wa mambo nipeni jawabu la swali hili.
 
Kama unajua kiingereza naweza kukutumia Kitabu ila Maisha yako wewe unayoishi umeyachagua wewe mwenyewe either kwa kupenda au kwa kutokupenda hivyo kila kinachotokea katika MAISHA yako wewe mwenyewe ndo umekifanyia manifestation Udhihirisho

Hata umasikini au Mafanikio ni mtu huwa anachagua ikiwemo hizo ndoto unazoota
 
Kama unajua kiingereza naweza kukutumia Kitabu ila Maisha yako wewe unayoishi umeyachagua wewe mwenyewe either kwa kupenda au kwa kutokupenda hivyo kila kinachotokea katika MAISHA yako wewe mwenyewe ndo umekifanyia manifestation Udhihirisho

Hata umasikini au Mafanikio ni mtu huwa anachagua ikiwemo hizo ndoto unazoota
Big Noo Boss, Mimi ni muumini wa Kudra za Mwenyezi Mungu... Na nasema kwa sababu... Mimi sikupangwa nizaliwe yani nilizaliwa bila kuwa na maamuzi... Na hata haya maisha yangu ni Allah ndio anaya control nasema hivyo kwann???

Kwa sababu kama ni mimi ndio naamua maisha yangu yaweje, kwann sina uhakika na kesho yangu au baadae yangu??
 
Nilishawahi kuota nimepoteza vyeti vyangu vya shule vyote na baada ya kuvitafuta sana nikavikuta chooni nikasepa navyo.

Kama baada ya wiki mbili hivi nikawa napiga stori na mzee wangu,nikamuelezea hyo kitu. Alishangaa sana akaniambia ahata yeye aliota nmepoteza vyeti vyangu siku ileile lakini yeye alichukua uamzi wa kwenda kwa mjumbe ili awatangazie watu wake kama kuna mtu amechua vile vyeti.

Ile ndoto sikuwahi kuisahau maisha yangu yote kwasababu huwa nahisi ndyo inanifanya mapaka leo maisha yangu hayaeleweki kabisa.

Hakuna mtu mwenye msaada kwa hii ishu jamani?
 
Moja ya uzi Bora kabisa, Mimi pia ni muhanga mkubwa sana wa ndoto ila sasahv kuna namna huwa zinanitokea kidogo zinaniogopesha, utakuta nimelala yaani muda mchache tu napitiwa na usingizi mzito then naota ila najua Kama hapa naota, kina kuja kiumbe cha ajabu wakati mwingine kwenye sura ya binadamu kinataka kunidhuru nikitamka tu "SHINDWA AU TOKA KWA JINA LA YESU" kinapotea na naamka ila utakuta nimelala labda na wiife ananiambia mbona ulikuwa unashout kwa sauti sana ? Nakwambia nilikuwa naota, then tunaamka tunapiga maombi tunalala.

Jamani wajuvi wa Mambo, wataalamu, Tupeni msaada kuhusu NDOTO. Hata Kama ni kitabu basi tuambiani majina tutatafuta.

Ahsante.
 
Na Mimi mwenye ujuzi na masuala ya ndoto ya kufanya mapenzi sura tofauti tofauti anisaidie maana zinanitesa sana nikipata mchungaji wa kiroho wa ukweli aweze kuniondolea hili jini mahaba nitashukuru sana
 
Suala langu:

Nimekuwa nikisikia Mengi kuhusu ndoto, Wengine mara oohh sijui mlango wa kuyaona yaliyopo nyuma ya Dunia, Mambo yasiyoonekana etc.

Wengine wanasema kuwa ndoto ni matukio ambayo tunayafanya kila siku...yanajikusanya.

Swali langu:. Kwanini Hajawahi tokea Binadamu yoyote akaota ndoto yupo chooni anaoga?

Hajawahi tokea na hatakuja kutokea. Sasa wajuvi wa mambo nipeni jawabu la swali hili.
Wewe umejuaje hakuna mtu amewahi kuota ndo za chooni au bafuni?
 
🤣🤣 Mkuu Mchungaji kwani anafanyaje kukusaidia wewe?? Si anaomba ? Sasa wewe unashindwa kuomba kwa Mungu.??

Boss Mungu Yupo, alafu anatenda na anajibu.... Ila sasa ukitaka kujibiwa kwa haraka unatakiwa uwe msafi wa mwili na roho yako isadiki....

Kama hujaoa Jichunge sana ,usizini thn omba all the Time within Mwaka mmoja tu... Mungu atakuwa kashakujibu na Pia utasahau ulichokuwa unaota.

Nyie Mungu Yupooo, na anatenda.
Na Mimi mwenye ujuzi na masuala ya ndoto ya kufanya mapenzi sura tofauti tofauti anisaidie maana zinanitesa sana nikipata mchungaji wa kiroho wa ukweli aweze kuniondolea hili jini mahaba nitashukuru sana
 
SUbiri nishushe kisa changu, maybe hapa ntapata ka mwanga.

Ndoto zangu nyingi hua najikuta naelewa kabisa kua hapa naota, so hata nkiona mapicha picha naeza jiamsha tu usingizini nkatemana na hyo ndoto.
Lakini kuna ndoto moja imebaki kichwani muda mredu sijawahi kuelewa. Iko hivi

Kwenye ndoto hyo, nlikutana na binti yuko na rafiki yake. Wote siwajui lakn ilikua kama vile tunafahamiana na huyo binti but rafiki yake simjui.
Katika story za hapa na pale we had a good chemistry with the friend, so walipotaka kuondoka nkamuomba namba.
Kimbembe kinaanzia hapa, mara kwa mara nkiota ndoto inayohusisha namba yaa simu, hua siez kuikumbuka hyo namba.
Kwaio alipokua ananitajia, nkawa najiambia kbsa kua nkizubaa, sitaeza kuikumbuka na leo. Kwaio nkawa namuomba airudie, akairudia kama mara 5 hv, nkasema hapa nmeikariri, subr niamke niisevu. Kweli nkaamka usingizin hapo hapo nkaipiga na kukata ili isipotee alaf nkarud kulala.
Asubuh nmeshika sim nkaona nlipiga sim usiku lkn sijui ni kwa nani. Nmechekecha akili sana ndo nkakumbuka ile ndoto.
Yule binti hata jina hakuniambia, so nkalicheki mpesa, then nkamsevu hvo hvo.
N kweli ile namba ni ya mwanamke na hata dp whatsapp n mwanamke, lakn sijawahi kumpigia wala kumtext. Hua naiangalia tu, nasema hadi siku nipate majibu ya kwanin iwe hv ndo ntapiga..
Nangojea wataalam wanipe mwanga
 
Big Noo Boss, Mimi ni muumini wa Kudra za Mwenyezi Mungu... Na nasema kwa sababu... Mimi sikupangwa nizaliwe yani nilizaliwa bila kuwa na maamuzi... Na hata haya maisha yangu ni Allah ndio anaya control nasema hivyo kwann???

Kwa sababu kama ni mimi ndio naamua maisha yangu yaweje, kwann sina uhakika na kesho yangu au baadae yangu??
Binadamu yupo na free will (utashi) ila linapokuja swala ya yeye aishije hapa Duniani ndo huwa anaitumia hiyo free katika manifest ya mambo ambayo yanahitaji kukaa upande wake ila then Mimi nimelenga kuhusu lifetime mzunguko wa Maisha hapa Duniani

Usipinge swala la Imani ya Aina yoyote ila Amini unachoamini hiyo ndo njia Bora ya kukua kiroho.
 
Suala langu:

Nimekuwa nikisikia Mengi kuhusu ndoto, Wengine mara oohh sijui mlango wa kuyaona yaliyopo nyuma ya Dunia, Mambo yasiyoonekana etc.

Wengine wanasema kuwa ndoto ni matukio ambayo tunayafanya kila siku...yanajikusanya.

Swali langu:. Kwanini Hajawahi tokea Binadamu yoyote akaota ndoto yupo chooni anaoga?

Hajawahi tokea na hatakuja kutokea. Sasa wajuvi wa mambo nipeni jawabu la swali hili.
Chooni ni sehemu ya kuoga?

Au kuna namna sijakuelewa
 
Nilishawahi kuota nimepoteza vyeti vyangu vya shule vyote na baada ya kuvitafuta sana nikavikuta chooni nikasepa navyo.

Kama baada ya wiki mbili hivi nikawa napiga stori na mzee wangu,nikamuelezea hyo kitu. Alishangaa sana akaniambia ahata yeye aliota nmepoteza vyeti vyangu siku ileile lakini yeye alichukua uamzi wa kwenda kwa mjumbe ili awatangazie watu wake kama kuna mtu amechua vile vyeti.

Ile ndoto sikuwahi kuisahau maisha yangu yote kwasababu huwa nahisi ndyo inanifanya mapaka leo maisha yangu hayaeleweki kabisa.

Hakuna mtu mwenye msaada kwa hii ishu jamani?
Ww ni muislam au mkristo?
 
Kama unajua kiingereza naweza kukutumia Kitabu ila Maisha yako wewe unayoishi umeyachagua wewe mwenyewe either kwa kupenda au kwa kutokupenda hivyo kila kinachotokea katika MAISHA yako wewe mwenyewe ndo umekifanyia manifestation Udhihirisho

Hata umasikini au Mafanikio ni mtu huwa anachagua ikiwemo hizo ndoto unazoota
I second yu Brother!
Kila kitu akifanyacho Mwanadamu katika ulimwengu huu,Kwanza huanza nakutolewa maamuzi kwenye ulimwengu wa kiroho...

Na ndoto ni summary ya Ulimwengu wa kiroho kuhusu Jambo fulani na ndo maana kuna kipindi mtu anaweza kuota kitu na akashangaa kimetoa...

Jibu ni kwamba kile kitu kimtokea kwa sababu tayari kilikwisha tokea katika ulimwengo wa kiroho...
Kwa hiyo anachokiona ni Summary tu
 
Big Noo Boss, Mimi ni muumini wa Kudra za Mwenyezi Mungu... Na nasema kwa sababu... Mimi sikupangwa nizaliwe yani nilizaliwa bila kuwa na maamuzi... Na hata haya maisha yangu ni Allah ndio anaya control nasema hivyo kwann???

Kwa sababu kama ni mimi ndio naamua maisha yangu yaweje, kwann sina uhakika na kesho yangu au baadae yangu??
Umechemka, kweni nini maana ya imani? Kama unaamini usichoona kua kinafanya kazi kwako basi unaweza kuamini nature kupitia mawazo yako ikafanya kazi utakavyo
 
I second yu Brother!
Kila kitu akifanyacho Mwanadamu katika ulimwengu huu,Kwanza huanza nakutolewa maamuzi kwenye ulimwengu wa kiroho...

Na ndoto ni summary ya Ulimwengu wa kiroho kuhusu Jambo fulani na ndo maana kuna kipindi mtu anaweza kuota kitu na akashangaa kimetoa...

Jibu ni kwamba kile kitu kimtokea kwa sababu tayari kilikwisha tokea katika ulimwengo wa kiroho...
Kwa hiyo anachokiona ni Summary tu
👊
 
Back
Top Bottom