Navutiwa sana na mwanamke mweusi

Navutiwa sana na mwanamke mweusi

1476309_590434204345688_1697631461_n.jpg
1781996_459081950858167_1981254292_n.jpg

she is hot
 
Japokuwa nimekuwa nikisemwa kwa kupenda wasichana weupe ila niseme ukweli mabinti weusi wana joto tofauti na utamu tofauti kabisa. Maswala ya nyama ile ile ila bucha tofauti haya apply hapa!
Watoto weupe hata wawe wazuri vipi nanihii inakinaisha haraka lakini black beauty bana mh.... unaweza tia aibu mwanaume dakika mbili ushamaliza round 1!

halafu kitabu kava jeusi ila ukifungua ndani rangi ya kurasa zake utatamani kusoma tuuu! waweza jik&*$#e duh! i salut em for their sweetiness!
 
tupige kura ya siri sasa maana kuna watu wanafiki humu, tutaona kati ya black na white rangi ipi itashinda. MODE weka utaratibu wa kuvote
 
Sasa mkiwa kwenye majambozi mtu akipita kwa dirishani si atajua uko na Aunt George au aunt peter tena

Sio kibesi kama besi la kiume bana, ni ngumu kuielezea but mfano mzuri ni sauti ya Stara Thomas!! Si besi la kiume ila si sauti nyembamba sana huwa ina mvuto wake nayo!!
 
Wakuu mimi napenda
sana wadada weusi yaan nikiwaona huwa nachanganyikiwa na sababu
zinazonichanganya ni
1.Ni wa mooooto

2.Rangi yao hainunuliwi dukani kama weupe

3.Hachakai haraka

4.Halafu akiwa na kibesi au sauti nzito kidogo ananiua kabisa

kwa ujumla wadada wa aina hii huwa nawapa kipaumbele sana machoni pangu
au mnasemaje?
always black is beauty......

tarou+mrembono1.jpg

dah jf isingekuwa mbao za matangazo ningetupia kipicha changu kufurahisha tu watazamaji
 
Back
Top Bottom