Navutiwa sana na mwanamke mweusi

Navutiwa sana na mwanamke mweusi

kwani hujaonaga wenye sauti nyororo wakifika hapo sauti zinakuwa nzito wakati wenye nzito wakifikia hapo zinakuwa sauti za kwanza kama celine dion


sio lazima kwenye match tu,hata kwenye majadiliano ya kawaida tu mwamke akiwa na sauti laini inakuwa poa zaidi na inaleta raha yake.
 
AfrikaNzuri-AfricaRealMan-BeautifulAfrika.png

mzuri ila mkorofi
 
....Na vitabu vyao vina "makava" meusi ila mwanangu jaribu kufunua usome, karatasi zao ni nyekunduuuu....hadi raha kusoma vitabu vyao!!!
 
unaweza kusimulia vema habari ya sehemu ulizowahi kufika! vinginevyo itakubidi uzunguke dunia nzima ili utoe majumuisho ya ziara yote.
 
aisee umenikuna , tudem tweusi mi ndo sindano zangu..tena kawe na kiuno chembamba , tuhips mbandiko na tutako twa kunyunyiza........heheheheh....hapo utamaliza mchezo wooote!!!!
Weusi wa kung'aa jaman!!!!!
kweli mkuuuu
 
Back
Top Bottom