Navutiwa sana na mwanamke mweusi

Navutiwa sana na mwanamke mweusi

Mademu weusi wazuri sana.. Mimi nikionaga huwa naishiwa pozi kabisa! Alooo..acha tu
 
Wakuu mimi napenda sana wadada weusi yaan nikiwaona huwa nachanganyikiwa na sababu zinazonichanganya ni
1.Ni wa mooooto

2.Rangi yao hainunuliwi dukani kama weupe

3.Hachakai haraka

4.Halafu akiwa na kibesi au sauti nzito kidogo ananiua kabisa

kwa ujumla wadada wa aina hii huwa nawapa kipaumbele sana machoni pangu au mnasemaje?
always black is beauty......

tarou+mrembono1.jpg
ulipoongelea suala la sauti nmefarijika sana, ntalala vizuri leo. mana nljua tusiokua na saut nyororo tumeisha
 
Back
Top Bottom