Computer4Sale Nauza laptop kwa lengo la kujipatia mtaji

Computer4Sale Nauza laptop kwa lengo la kujipatia mtaji

Wewe hata uuze uhonge ziishe ni yako, uamue ulipie mtoto au mke wako shulen ni yako, uamue unywe zote ziishe ni yako, uamue pesa utoe yote sadaka hakuna atakae kuzuia. Kusema ni ili upate mtaji hutapata mteja wa maana coz mteja atawaza kuwa akiinunua hela yake ikutajirishe wewe faida yake ni ipi?
 
Kwenye biashara usitangaze shida zako, maana unajiweka upande dhaifu kwenye negotiation. Mtu atatumia huo kama mwanya akijua upo desperated hata hela ndogo utachukua tu. Kama kwenye tangazo lako hakukua na ulazima wa kuambatanisha shida zako.
Ok
 
Wewe hata uuze uhonge ziishe ni yako, uamue ulipie mtoto au mke wako shulen ni yako, uamue unywe zote ziishe ni yako, uamue pesa utoe yote sadaka hakuna atakae kuzuia. Kusema ni ili upate mtaji hutapata mteja wa maana coz mteja atawaza kuwa akiinunua hela yake ikutajirishe wewe faida yake ni ipi?
Sawa
 
Kila la kheri Mkuu.
Nje ya mada: huo mkono hapo ni wa Boss?
 
Kila la kheri Mkuu.
Nje ya mada: huo mkono hapo ni wa Boss?
Asante sana ndugu, dua hii naitikia Ameeeni 🙏🏾
Ndio mkuu ni wa boss amezeeka amerudi nyumbani kwao kumalizia maisha yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom