bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 8,094
- 7,848
Mi nakushauri tafuta wazee wenye hekima wakazungumze na huyo baba. Kama mnasali wote tumia hata wazee wa kanisa wenye hekima. Hata kama ungekuwa huumii bado ungetakiwa kuweka wazi hilo suala ili uwe huru....
Mimi nilidhani zile filam za kinigeria zimeongezwa chumvi kumbe hii hutokea kweli! Utamdai vipi mtoto ni wako wakati mwanamke ameolewa na mume mwengine na mtoto amezaliwa ndani ya ndoa hiyo?
Tafakari kwa makini kwani hapo ina maana utaharibu ndoa yako na ya huyo mwenzako.
Na huyo mtoto utampeleka wapi, jee huyo mke wako kweli atakubali kumlea huyo mtoto?