Naumia kumuona mtoto wangu

Naumia kumuona mtoto wangu

utakua na nia ya kumvunjia ndoa dada wa watu et??koz ww mkei atakusamehe koz ndvyo tulivyoumbwa wanawake tuna hrm nyng bt uyo mme wa uyo mdada cdhan km ataelewa ht kdg tn atahis ht na wale wengn co wake sasa uone km ni tatizo unataka kuleta km uliamua azaliwe kule bad muache kule kule uyo mtt
Hv ingekua ww mkeo akwambie ao wtt co wako ungejskiaje na sku unamwona baba yao anakuja kuwachukua wkt ww ndo ulikua unalea na kuamin km ni wk??
Uzur umeokoka bas usilopenda kufanyiwa kamwe usimfanyie mwenzio
waswahil usema bustan ya mchicha ht likiota tembele ni la mwenye bustan yk ya mchicha so uyo mtt ni wa uko uko na wako ni kiroho koz ww ndo unajua
FUNGA MDOMO WAKO...

Kaka kuna post ..umeni qoute hapo Juu ..haipo kwenye mtiririko wa Hii wala haiendani......Naomba Nipe link ya ..thread ulikoitoa.....
 
Ndugu zanguni wana JF, natumaini nyote ni wazima wa afya!

Juzi, nilikua na maongezi ya muda mrefu na mfanyakazi mwenzangu. Katika maongezi, nikagundua kwamba yeye, kama nilivyo mimi, anaumia sana. Aliponieleza shida yake, nilimwambia wazi kwamba nami nateseka na mawazo kama wewe. Hivyo nikashindwa kumpa ushauri maana tatizo lake linafanana na langu. Mawazo yenu yatasaidia nijue la kufanya, na yeye akiyasoma atapata uamuzi afanye nini.

Mimi, kabla sijaokoka nilikua na mahusiano na mke wa mtu. Nilibahatika kuzaa nae mtoto wa kike. Mme wake yupo ila huyu mwanamke tulipendana sana ila hatukubahatika kuoana. Alipoolewa, na hata mimi baada ya kuoa, mahusiano yetu yaliendelea tena vibaya sana. Mwaka juzi mwanzoni tulishauriana tuache maana tulikua tunatenda dhambi ila tuliamua kuwa na mtoto awe ukumbusho wetu. Na kweli tukabahatika kumpata mtoto huyu wa kike.

Kwa huyu bwana, kama ilivyo kwangu, huyu nimtoto wa kike pekee. Ninao watoto wakiume 3. Yeye anao watoto wa kiume wawili na alivyoona huyu amwezaliwa, alimweleza mke wake kwamba wanatosha. Anampenda sana mtoto huyu wa kike.

Sasa mi naumia sana. Siku moja nikiwa na mke na watoto wangu supermarket mmoja ya hapa, niliwaona wao pia wakiwa katika heka heka ya shopping wakiwa na mtoto wangu. Niliumia sana. Sasa nataka nifanye harakati nimchukue mtoto wangu. Nifanyeje jamani nisaidie.

Mfanyakazi mwenzangu yeye alimpa binti wakati anasoma na bila kujua, binti alikua mchumba wa mtu. Alipoolewa aliolewa na ujauzito wa jamaa. Yeye alipata mtoto wa kiume na mme wa huyo mwanamke hajui lolote kwamba analea mtoto wa mwenzake. Na yeye anataka afanye harakati amchukue mtoto wake.

Najutia dhambi niliyoifanya na nimbaya sana. Lakini mtoto wangu namtaka nawaombeni msaada. Nimejutia dhambi hivyo naomba ushauri tu na sio matusi.

We kaka utamharibia mwenzio ndoa yake.... Jamani jamani hili mbona balaa..
 
hen nan shuo......hii story kama vile unaiona live.:wacko:
 
Bado haijala kwangu kwa vile bado napigania haki yangu

Ktk kupigania haki yako uangalie na upande wa pili nao utaingia vitani kulinda haki na kurudisha heshima, hivyo lolote litaweza kutokea even blood-shed if you are not so careful!
 
najua unataka kuregain ur lost independence . lakin kama ulishatubu na umeokoka Mungu atafanya njia pasipo na njia sio kazi yako kufikiria yaliyopita Kristo will make the way.
Bado haijala kwangu kwa vile bado napigania haki yangu
 
kama vp jitoe ufahamu uanzishe segere matata la kupima DNA,issue ni kwamba majibu yakatae kuwa mtoto si wako
hapo ndo utajua maana ya ulimwengu shujaa
mbaya zaidi na kwa mkeo DNA ipimwe majibu pia yaoneshe watoto si wako
hapo ndo utakuwa na nidhamu ya kumwogopa Mungu na kuacha kutangaza Ati we mlokole then unatembea na mke wa mtu:embarrassed:
 
Ndugu zanguni wana JF, natumaini nyote ni wazima wa afya!

Juzi, nilikua na maongezi ya muda mrefu na mfanyakazi mwenzangu. Katika maongezi, nikagundua kwamba yeye, kama nilivyo mimi, anaumia sana. Aliponieleza shida yake, nilimwambia wazi kwamba nami nateseka na mawazo kama wewe. Hivyo nikashindwa kumpa ushauri maana tatizo lake linafanana na langu. Mawazo yenu yatasaidia nijue la kufanya, na yeye akiyasoma atapata uamuzi afanye nini.

Mimi, kabla sijaokoka nilikua na mahusiano na mke wa mtu. Nilibahatika kuzaa nae mtoto wa kike. Mme wake yupo ila huyu mwanamke tulipendana sana ila hatukubahatika kuoana. Alipoolewa, na hata mimi baada ya kuoa, mahusiano yetu yaliendelea tena vibaya sana. Mwaka juzi mwanzoni tulishauriana tuache maana tulikua tunatenda dhambi ila tuliamua kuwa na mtoto awe ukumbusho wetu. Na kweli tukabahatika kumpata mtoto huyu wa kike.

Kwa huyu bwana, kama ilivyo kwangu, huyu nimtoto wa kike pekee. Ninao watoto wakiume 3. Yeye anao watoto wa kiume wawili na alivyoona huyu amwezaliwa, alimweleza mke wake kwamba wanatosha. Anampenda sana mtoto huyu wa kike.

Sasa mi naumia sana. Siku moja nikiwa na mke na watoto wangu supermarket mmoja ya hapa, niliwaona wao pia wakiwa katika heka heka ya shopping wakiwa na mtoto wangu. Niliumia sana. Sasa nataka nifanye harakati nimchukue mtoto wangu. Nifanyeje jamani nisaidie.

Mfanyakazi mwenzangu yeye alimpa binti wakati anasoma na bila kujua, binti alikua mchumba wa mtu. Alipoolewa aliolewa na ujauzito wa jamaa. Yeye alipata mtoto wa kiume na mme wa huyo mwanamke hajui lolote kwamba analea mtoto wa mwenzake. Na yeye anataka afanye harakati amchukue mtoto wake.

Najutia dhambi niliyoifanya na nimbaya sana. Lakini mtoto wangu namtaka nawaombeni msaada. Nimejutia dhambi hivyo naomba ushauri tu na sio matusi.

kubali ndoa yao ivunjike ili upate mtoto maana jinsi unavyoumia wewe ni tofauti na atakavyoumia mwenzio!!!!
 
kama vp jitoe ufahamu uanzishe segere matata la kupima DNA,issue ni kwamba majibu yakatae kuwa mtoto si wako
hapo ndo utajua maana ya ulimwengu shujaa
mbaya zaidi na kwa mkeo DNA ipimwe majibu pia yaoneshe watoto si wako
hapo ndo utakuwa na nidhamu ya kumwogopa Mungu na kuacha kutangaza Ati we mlokole then unatembea na mke wa mtu:embarrassed:

Hapana,hayo yalitokea kabla sijaokoka.
 
Mleta mada acha masikhara. una utani wa ngumi na mwenye mke walahi..
 
Hii story ilishawahi kuletwa humu miaka mingi iliyopita, Wewe ndiyo yule yule?
 
Madhara ya wewe kudai huyo mtoto yatakuwa makubwa kuliko faida. Kama huamini tafta tamthilia ya MARACLARA uangalie.
 
mi nikuulize ukigundua na wewe yule mtoto wako wa pili sio wako ni wa yule jamaa waliyesoma wote na mkeo utafanya uamuzi gani ila ningemfahamu huyo jamaa ningemshauri amugegede mkeo ungefurahi et?
 
Back
Top Bottom