Naumia kumuona mtoto wangu

Naumia kumuona mtoto wangu

Kuna watu wanaweza na kutamani matatizo.

Utaanzia wapi kudai mtoto wa hivyo?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Du we kiboko hadi umewapa upofu MOD unatiririka matusi hivo!
Yaani unamtomba mke wangu hadi mnawekeana ukumbusho wa mtoto? Tena unajiita mlokole? Haki ya nani lazima nitatumia mafunzo yangu ya ujasusi niwafanye kitu mbaya. Mimi sina ushauri kwa mshenzi kama wewe. Kama ni mimi nikishajua nawachinja wote wewe na mke wangu. Nitanunua watu hata kwa gharama yoyote niwapoteze familia yako. Kisha huyo mtoto wa kike uliyemzalia mke wangu atabakia maana hana hatia. Kama hutaki haya yakutokee ushia hapo hapo usimweleze hata mtu. Ila ukishaanzisha hizo harakati zako ujue mwisho wako umefika. Kama siyo kifo ni hicho kimboo lazima kikatwe. Eti mlokole mtomba wake za watu. Kuna umuhimu wa wanawake kujielewa. Ukimpa mtu ---- hakikisha hakupi
Mimba maana lazima itajulikana tu. Na siku ikujilikana tu umekwisha. Utajuta kumfahamu huyo hawara. Utaomba kujizika mwenyewe.
 
fanyi ivi iliuchukue mwanao mruhusu jamaa aje amgonge mkee kama wewe ulivyokuwa una mgongea akimtia mimba mkeo sasa mwambie wewe ulimuwahi muda then mchikue mwanao
 
Ameandika kwamba alifanya hayo kabla hajaokoka. Maandishi hayo hujayaona au uneamua kuyafumbia macho makusudi?

Hivi dhambi inatustua wakati upi......Endelea kumuombea mpendwa anayeenda kusema kwa mwanaume mwenzake kuwa yule mtoto ni wake....
 
Ukija kama ni mimi kesho yake utazikwa
 
ivi ina maana hamna ata lepe la ufanano?...mimi nina mtoto mmoja wa kike,nimefanana nae kila kitu isipokua jinsia
 
Kwa vile nimeomba ushauri, sitawajibu vibaya wanaonitusi. Nilishasema mwanzo kwamba nilikua namtumikia shetani na sasa mi ni kiumbe mpya. Hivyo mwenye matusi Mungu atakufunua macho kwamba mtu akishatubu anakua mpya na dhambi zake husamehewa.
 
Wiyelele bwana asifiwe....
mkeo anajua kama ulizaa na mtu mwingine, ukiwa una ndoa?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ila kama unajipenda na unawapenda wanao kaa kimya usifanye chochote kuhusu huyo mtoto!Endelea kuumia hivyo hivyo for her sake!!Ni heri mwanaume alee mtoto asiye wake huku akijua wazi sio wake from the beginning!Hii ya kuibuka after years unadai mtoto wako wallahi utauawa hivi hivi!!Halafu ndo mtoto wa kike pekee hahahaha, endelea tu kuumia ndugu yangu ndo URIJALI huo!
 
Ni kweli Lakini Kaka Yangu Vitu Vingine ni Vema Ukaviacha"Untouched" kwa sababu Effect yake Ni Kubwa Kwa Mtoto na huyo Mzazi Mwenzako.
 
Kwa vile nimeomba ushauri, sitawajibu vibaya wanaonitusi. Nilishasema mwanzo kwamba nilikua namtumikia shetani na sasa mi ni kiumbe mpya. Hivyo mwenye matusi Mungu atakufunua macho kwamba mtu akishatubu anakua mpya na dhambi zake husamehewa.

si unasema umeokoka eh!!!,subiri jamaa atakapo kutanguliza peponi sababu ya kuzini na mke wake ndo utapata jua kama umesamehewa dhambi zako

Kwanza ni nani alokuambia umesamehewa hiyo dhambi ulotenda na mke wa mtu!!!?
 
Mkuu Wileyele, achana na hii kitu bana. Una watoto watatu tayari, wanakutosha. Usije ukaenda kuvunja ndoa ya watu bure na ukamuharibia huyo mama badala ya kumsaidia. Kwanza una uhakika gani kama yule ni mwanao?? Kama kweli unampenda huyo mtoto na uliwahi kumpenda kwa dhati mama yake, basi potezea hii kitu
 
Kutokana na maelezo yako mliamua kuachana na kuacha ukumbusho,sidhani kama wewe ndugu umeokoka kweli! Neno Mungu linasema mwana akiwaweka huru mtakuwa huru kweli kweli. Wewe bado mtumwa kwa mawazo ya kitumwa,neno la Mungu linasema ya kale yamepita tazama yamekuwa mapya kwanini kukumbuka matapishi?
 
si unasema umeokoka eh!!!,subiri jamaa
atakapo kutanguliza peponi sababu ya kuzini na mke wake ndo utapata jua kama
umesamehewa dhambi zako

Kwanza ni nani alokuambia umesamehewa
hiyo dhambi ulotenda na mke wa mtu!!!?
 
Back
Top Bottom