Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,276
Toa ushauri bhana....Hii ngumu kumesa...Hii kesi ngumu.........dwoo......
Toa ushauri bhana....Hii ngumu kumesa...Hii kesi ngumu.........dwoo......
Kwa vile nimeomba ushauri, sitawajibu vibaya wanaonitusi. Nilishasema mwanzo kwamba nilikua namtumikia shetani na sasa mi ni kiumbe mpya. Hivyo mwenye matusi Mungu atakufunua macho kwamba mtu akishatubu anakua mpya na dhambi zake husamehewa.
Na wengi mnalea watoto sio wenu....wanawake wengi wameguswa na umeme na hii thread.........it simply means wengi tumedhulumiwa watoto
Yani kamzalisha mke wa mtu alafu anajidai eti anadai haki!Kisa?
haya wasio na dhambi wampige mi hata kumsogelea sisogei....
Jitahidi kuwa na roho ngumu, kubali watoto ulionao ndio wa kwako na huyo mwingine sio wako maana Baba anayeishi naye ndiye anaamini kuwa ni mwanae. Kwanza hata mtoto mwenyewe hana na hatakuwa na upendo wowote na wewe. Usijidanganye, tulia ishi kama wazee wetu walivoishi. Enzi zile utakuta mzee kazaa na jirani lkn inakuwa ni siri hadi kufa.
wanawake wengi wameguswa na umeme na hii thread.........it simply means wengi tumedhulumiwa watoto
Na wengi mnalea watoto sio wenu....
Teh teh teh teehhh,nimefurahi sana duuh.
where silence can do better dont tell the truth kama wote wangekua wameokoka sawa utavunja ndoa za watu acha upumbafu jinsi unavo umia mwenzio ataumia mala mia just step into the shoes of ur fellow men
Na wengi mnalea watoto sio wenu....
mkuu usicheke,unajua hii dunia watu tunapenda chukulia na kuona mambo magumu kama rahisi sana!!!
mfano huyo jamaa hapo bila aibu anasema "nimetubu nimesamehewa",amesamehewa my f**t
Tena akeshe akisali na kuombea jamaa asijue vinginevyo achague sahv kabisa angependa kuzikwa wapi kati ya Mjini au kijijin kwao kabla jamaa mwenye mke hajamshughulikia
Ndo maana siku hiz ukipata Mtoto anafanana na babake ni ful raha kwa babà,