Naumia kumuona mtoto wangu

Naumia kumuona mtoto wangu

Mi naona tulia endelea na maisha yako na ndoa yako, maana unaweza ukavuruga ndoa zote mbili na maisha ya watoto wote.
 
avatar52091_4.gif


Nimeona nianze na picha hiyo hapo juu.

Pili, kitanda hakizai haramu.

tatu, hujui maana ya kuokoka. Kama kweli uli..ungemuambia mkeo uliyofanya na hasa kuhusu huyo mtoto.

nne, somethings are better left unsaid.

tano, kama ni mimi...yani kwa mfano tu...mfano yani...umento.mbea mai waifu...halafu unakuja kuniambia mtoto wangu wa kike ni wako kuwa na uhakika na hili, SHOKA LITAKUHUSU! Ukitaka sanaaaa muambie mai waifu aje yeye anieleze huo upuuzi wenu..ukija mwenyewe WALAI....refer picha ya hapo juu!

sita, endelea kulea wanao acha upuuzi!

saba, wewe ni mjinga sana..

nane, tena huna akili!

tisa, nenda kaokoke upya

mwisho, ngoja niondoke hapa kuepusha ban!
 
avatar52091_4.gif


Nimeona nianze na picha hiyo hapo juu.

Pili, kitanda hakizai haramu.

tatu, hujui maana ya kuokoka. Kama kweli uli..ungemuambia mkeo uliyofanya na hasa kuhusu huyo mtoto.

nne, somethings are better left unsaid.

tano, kama ni mimi...yani kwa mfano tu...mfano yani...umento.mbea mai waifu...halafu unakuja kuniambia mtoto wangu wa kike ni wako kuwa na uhakika na hili, SHOKA LITAKUHUSU! Ukitaka sanaaaa muambie mai waifu aje yeye anieleze huo upuuzi wenu..ukija mwenyewe WALAI....refer picha ya hapo juu!

sita, endelea kulea wanao acha upuuzi!

saba, wewe ni mjinga sana..

nane, tena huna akili!

tisa, nenda kaokoke upya

mwisho, ngoja niondoke hapa kuepusha ban!

Tobaaaa....shem ni wewe ninayejufahamu au mtu kaiba pasiwedi?
 
Kwa kweli kuwa mpole kwa wanaokutukana maana salsa unaula upumbavu wako,kwa sababu ulipokuwa na ukaribu Huyo mzinzi mwenzio am sure mlitaabisha sana familia
 
Lolote utakalo thubutu kufanya linauwezekano mkubwa sana kuharbu ndoa yako na ya huyo mzazi mwenzi(mke wa mtu),me nadhani endelea kuumia kwani ndio malipo ya zinaa,hautakiwi kusubiri uje uhukumiwe mbinguni inaanza hapahapa dunian,na huo ni mwanzo tu yatakujia makubwa zaidi ya hilo...
 
Jamani, ninawashukuru kwa ushauri wenu. Nawaombea mlionitukana pia. Mimi ni binadamu na kuna kuteleza. Ila ninawashukuru sana watu wote mliotoa ushauri kwamba niachane na kudai mtoto. Asanteni sana na hakika mimi na mke wangu tunafurahia kulea watoto tuliobarikiwa na Mungu. Asanteni.
 
chukua nafasi ya huyo jamaa, halafu mkeo ndio amezaa nje na umelea mtoto ambaye si wako, na wanakuja kumchukua unategemea nini kitokee? halafu siri ya mtoto anayo mama, anaweza kukukana. halafu umeshaokoka na umetubu achana nayo songa mbele ndugu.
 
si unasema umeokoka eh!!!,subiri jamaa atakapo kutanguliza peponi sababu ya kuzini na mke wake ndo utapata jua kama umesamehewa dhambi zako

Kwanza ni nani alokuambia umesamehewa hiyo dhambi ulotenda na mke wa mtu!!!?

Teh teh teh teehhh,nimefurahi sana duuh.
 
Siku moja nikiwa na mke na watoto wangu supermarket mmoja ya hapa, niliwaona wao pia wakiwa katika heka heka ya shopping wakiwa na mtoto wangu.

Hivi una uhakika gani kuwa hao watoto unaowaita ni wako ni damu yako kweli??
 
Unatafuta damu kumwagika tu!atakuua huyo jamaa maana inakuwa kama amekufamania live,ataua mpaka na ulio nao kwako kama kisasi hamna suluhu hapo,pole!
 
Mi nakushauri tafuta wazee wenye hekima wakazungumze na huyo baba. Kama mnasali wote tumia hata wazee wa kanisa wenye hekima. Hata kama ungekuwa huumii bado ungetakiwa kuweka wazi hilo suala ili uwe huru....

Kuna vitu vingine vinaumiza huenda huo ndio ukawa mwisho wa hiyo ndoa. Kama ulivyosema hekima ya hali ya juu sana inatakiwa, kwa sababu wakinyamaza siku ikijulikana jamaa hatakubali maelezo yoyote.

Wakisema waliweke wazi napo huwezi kujua atalipokeaje na atachukua maamuzi gani.

Mithali 6:32-35

33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
34 Maana wivu ni ghadhabu ya mtu; Wala hatahurumia siku ya kujilipiza kisasi.
35 Hatakubali ukombozi uwao wote; Wala hatakuwa radhi, ujapomlipa vitu vingi.
 
Yaani unamtomba mke wangu hadi mnawekeana ukumbusho wa mtoto? Tena unajiita mlokole? Haki ya nani lazima nitatumia mafunzo yangu ya ujasusi niwafanye kitu mbaya. Mimi sina ushauri kwa mshenzi kama wewe. Kama ni mimi nikishajua nawachinja wote wewe na mke wangu. Nitanunua watu hata kwa gharama yoyote niwapoteze familia yako. Kisha huyo mtoto wa kike uliyemzalia mke wangu atabakia maana hana hatia. Kama hutaki haya yakutokee ushia hapo hapo usimweleze hata mtu. Ila ukishaanzisha hizo harakati zako ujue mwisho wako umefika. Kama siyo kifo ni hicho kimboo lazima kikatwe. Eti mlokole mtomba wake za watu. Kuna umuhimu wa wanawake kujielewa. Ukimpa mtu ---- hakikisha hakupi
Mimba maana lazima itajulikana tu. Na siku ikujilikana tu umekwisha. Utajuta kumfahamu huyo hawara. Utaomba kujizika mwenyewe.

Huo ulokole si kaupata Sasa hivi!! We jamaa kauka! Kuna kisa ntakupa cha kweli ngoja nikirudi
 
Ndio madhara ya kuoa binti asie bikra,wanapenda sana kuendeleza mapenzi na waliowahi kuwapitia.Ikitokea alishatembea nao wengi kabla yako jua uko hatarini kulea watoto wa wanaume wenzio maana sio rahisi kuridhika na wewe atakua akikulinganisha na watangulizi wako.Mi nilishajiwekea utaratibu kama mtoto hashabihiani na Mimi au mmoja kati ya ndugu zangu wa karibu lazima niwapime vinasaba(DNA).Nilifanya hivo Kwa watoto Wangu mapacha ila kidogo ndoa isambaratike wife alipogundua.
 
...hahhhaha, Mentor!
avatar52091_4.gif


Nimeona nianze na picha hiyo hapo juu.

tano, kama ni mimi...yani kwa mfano tu...mfano yani...umento.mbea mai waifu...halafu unakuja kuniambia mtoto wangu wa kike ni wako kuwa na uhakika na hili, SHOKA LITAKUHUSU! Ukitaka sanaaaa muambie mai waifu aje yeye anieleze huo upuuzi wenu..ukija mwenyewe WALAI....refer picha ya hapo juu!

sita, endelea kulea wanao acha upuuzi!

saba, wewe ni mjinga sana..

nane, tena huna akili!

tisa, nenda kaokoke upya

mwisho, ngoja niondoke hapa kuepusha ban!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom