maandamano
JF-Expert Member
- Nov 12, 2025
- 652
- 1,388
Namuulizia huyu jamaa alikuwa maarufu sana alinifanya niwe napenda kumsikiliza muda wote, anayejua habari zake yuko wapi?
Lakini alikuwa anaongea vitu vya kweli kabisa au wamempoteza,kumteka au kumuuwa?Namuulizia huyu jamaa alikuwa maarufu sana alinifanya niwe napenda kumsikiliza muda wote, anayejua habari zake yuko wapi?
Meja wa kuchajiMbona humuulizii Augustino?
yuko anawatafutia sateliteNamuulizia huyu jamaa alikuwa maarufu sana alinifanya niwe napenda kumsikiliza muda wote, anayejua habari zake yuko wapi?
Lakini alikuwa anaongea ukweli mtupu na ametuachia ukweli jinsi Viongozi wetu wanavyotafuna inchiNdo maana mkaitwa NYUMBU unafikiri hili jina likitokana na nini!?
Lakini wewe mbwa unawasaidia Viongozi wako walioiba uchaguzi kusafisha mazingira ya kula mifupa wanayokutupia huku minofo wanafaidi waoNdo maana mkaitwa NYUMBU unafikiri hili jina lilitokana na nini!?
MTU yeyote akitaka Engagement, likes na followers anakuja kwa nyumbu anawatumia Ana pita hivi
Mange , Dangwa , Veronica , Habili the list is endless
Republic of nyumbu.
Lakini alikuwa anaongea ukweli mtupu na ametuachia ukweli jinsi Viongozi wetu wanavyotafuna inchi
Mimi sio CCM mkuu Ila nimekuambia ukweliLakini wewe mbwa unawasaidia Viongozi wako walioiba uchaguzi kusafisha mazingira ya kula mifupa wanayokutupia huku minofo wanafaidi wao
Si afadhali nyumbu kuliko nyinyi mchwa mnaoiba bila aibuNdo maana mkaitwa NYUMBU unafikiri hili jina lilitokana na nini!?
MTU yeyote akitaka Engagement, likes na followers anakuja kwa nyumbu anawatumia Ana pita hivi
Mange , Dangwa , Veronica , Habili the list is endless
Republic of nyumbu.
Kwa kuwa wewe ni mwizi fisadi mwizi wa pesa za nyumbu unajiona mjanjaNa ndo maana nikasema unajua Nyumbu maana yake nini?
Shida ya wabongo ndo hii hamtaki kusikia ukweli .Si afadhali nyumbu kuliko nyinyi mchwa mnaoiba bila aibu