Katungunya
Member
- Mar 19, 2013
- 35
- 33
Mme wa mtu si sumu, sumu ni mke wa mtu. Mwambie bibie mimi babu ODM nimempa ruksa afaidi storongo hiyo. Ila akikosa wa kumuoa asimlaumu mtu.
Wewe achana na mume wa Mtu. Siku yakikukuta ndio utajua madhara yake. Najua unafuata Pesa, Acha tamaaa.
Hahahaha unaweza kumla tigo ukafikiri unamkomoa kumbe ndio burudani yake.endelez nae tu huyo mwanaume....siku ukicharanbwa mapanga ua ukiteguliwa kiuno au ukiliwa tigo ndo utajua utamu wake
Mrembo by Nature na Katungunya nimewapenda bure leo...i can see future!!!
In other news, kuna mdau hapa aliwahi kusema, "Ukichoka kufanya siri fumaniwa"
kwa nilivyoelewa stori,naweza sema hii ni true love,na bahati mbaya sana huwa true love haifi.mtakwepana mtakimbiana but utaishi nayo daima dumu.muache afurahie mapenzi as long as wanamuheshimu mke halali.
Wasomi wangapi hawajaolewa? Mwacheni mwenzenu ajipe raha bana.we mwache mwenzio kapenda kuwa uhawara kugegedwa mchana tu usiku mpaka mume asingizie safari tena na mwenzie anacheo cha mrs yeye hawara a.k.a kimada, nyumba ndogo, kipozeo na kadhalika na usomi wake wote huo kipindi cha baridi anapopata shida wakati mwenzie kakumbatia hata baridi haijui
njoo kwangu mimi mwenyewe single and searching check avatar mwanamke wa kitz haswa
Nani alikudanganya wanawake wanatafuta? Wanawake wanatafutwa bana! Sasa kama yeye hajatafutwa afanyeje na utamu anaupata kwa mpenzi wake wa ukweli japo kashaoa?Anatakiwa aamue kusimamia maadili na maamuzi ya kujenga future yake, moyo ukiuendekeza saa nyingine unapoteza, weka mipaka.. kwasababu tu ni true love yeye alale tu hata na waliooa?? wakati huo huo anapoteza muda wa kutafuta wake. 26 yrs sio michache asipoangalia atajikuta anabemenda madogo
Kama nimemsoma vizuri hakuna sehemu aliyosema anataka kuolewa. Ye shida yake ni malavidavi na siyo ndoa.Jitahidi uachane nae. Unapokuwa nae watu wanaokupenda na kutaka kukuoa unawazuia. Ni vizuri ukawa mwenyewe ili watu wanaotafuta wachumba waweze kukufata.
kila nikirudia maneno haya naona kama dada yetu kajisahau kabisa.Huyu mama wa watu alipokuwa anaolewa hakujua kama huyu dada ana-exist, na mpaka unakuja hapa kuomba ushauri unajua kabisa kwamba wewe ndiyo umeingia kwenye anga za mwenzio.Huyu jamaa anajua sana thamani ya ndoa yake.hata usingemshauri, hawezi kamwe kumkwaza mke wake.amemchagua ili awe mama wa watoto wake.huu ni uamuzi ambao unachukuliwa na mwanaume aliyependa kweli kweli.ukitaka kujua unyama alionao kwako, mwambie unahisi ni mjamzito,ndiyo utajua anakupenda kiasi gani.,lakini naona kama limekuwa jaribu kwangu mana namuonea huruma mke wake japo ye ndo aliingia anga zangu lakini maadamu hana matatizo naona yeye ni innocent kwanini nitoke na mumewe japo,,japo nimempa warning huyu mwanaume asimfanyie vituko mke wake na aendelee kumuheshimu, na mimi simchokozi kwa namna yoyote ile yule mkewe.
!
unatumia kitabu gani cha IMANI?Siyo lazima awe muislam. Kwani wakristo wangapi wana mke zaidi ya mmoja? Kama vipi nyie halalisheni tu, mkafunge ndoa ya bomani. Sioni ubaya katika hilo. Hii habari ya mke mmoja ni sheria ya kanisa tu, haina madhara yoyote kiimani. Kwa uelewa wangu wa biblia, ni askofu tu ndiyo amezuiwa kuoa mke zaidi ya mmoja.
Wasomi wangapi hawajaolewa? Mwacheni mwenzenu ajipe raha bana.
Hivi unajua asilimia kubwa ya wanaume wenye ndoa wanacheat?
Unajua ni wanaume wachache sana wenye guts za kucheat na wake za watu?
Unajua asilimia kubwa ya wanaume wanacheat na mabinti?
Kwanini unamshangaa huyu we binti?
Nani alikudanganya wanawake wanatafuta? Wanawake wanatafutwa bana! Sasa kama yeye hajatafutwa afanyeje na utamu anaupata kwa mpenzi wake wa ukweli japo kashaoa?
Hivi unajua mwanaume hajaumbwa kwa ajili ya mwanamke mmoja? Unajua wanawake mko wengi kuliko wanaume? Sasa hao wanaokosa wanaume wa kuwaoa watatulizaje kiu zao za kibaiolojia?
Ama kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.
Hahahha si unajua tena mkuu.... tunajipigia machapuo.Kiongozi nakuona unavyomwaga lecture hapa kwa wajukuuz na wapwaz. Hataree......
Popote ulipo Kaizer, hebu njoo umfanyie usajili huyu binti.Mimi mwenyewe nina njaa sana tu lakini nimekataa kujitia nuksi kwa kutembea na waume za watu, majaribu yapo sana tu ya nyie mlooa lakini chupi mkononi ila ndo hivyo kwa neema ya Mungu tunayashinda. MME WA MTU HAPANA NA MUNGU NIWEZEE JAPO NI NGUMU.