Pole sana kwa kuingia kwenye maji ambayo hujayajui kina chake cha baadaye.Mapenzi hayana siri, ipo siku mtajisahau mkewe atajua.natamani huyo mke atoke nje ya ndoa ili awaletee kaugonjwa kasiko na tiba, hapo ndio utajua kama uache au uendelee na kamchezo hako.Huyo jamaa anakuzibia usiolewe, na umri unaenda hivyo, endelea kuponda raha, kufa kwaja.
Nafikiri unabidi ushindane na nafsi yako, na ukipata mpenzi wako mwenyewe utakuwa na amani na utamsahau huyu jamaa.kwanza mapenzi haya huna uhuru, kila wakati unahofu ya kukutwa.kwanini ujitese na wanaume hawajaisha duniani?Bado unamuda wa kuamua kabla mambo hayakuendea vibaya.