Natambulisha Live Online Tv kwenu

Natambulisha Live Online Tv kwenu

Hii app ukiangalia vzr, azam channels zimekaa poa zaidi kuliko zingine. Hongera sana mkuu.
 
Mkuu ongeza local channels iko poa sana kila sasa naiona azam tv na super sport 1,2&3 vizuri kabisa kwa picha nzuri kabisa na angavu
 
Aisee. ....we jamaa ni mkali.
Nimejaribu inapiga mzigo fresh kabisa.

Haya tuhabarishe kuhusu gharama maana dunia hii ya viwanda hakuna cha ubwerere, vipi matumizi ya bundle lakini pia multchoice watakuacha salama na hizo supesports zao??
Sio supersport Africa hizo. Ni za ulaya kama cjkosea Albania au urusi urusi huko.
 
Mleta mada asante kwa huduma yako, ila na wewe umekuwa kama muheshimiwa mtukufu umeweka local channel ambazo hazionyeshi, kama bado unazifanyia matengenezo si uziondoe kwanza kwenye menu zikikamilika ndo uzirudishe 🙄🙄
Dada wa kazi akishika simu ya mama mwenye nyumba, kla knachomjia kichwan anaona sawa tu.
Kuwa mpole kila kitu hakiwez kuwa ndan ya siku moja
 
Umedandia post uzeeni. Anza nayo mwanzo kabisa. Nadhani utaelewa tu
Dah kaka hilo jibu lako mwisho kabisa umeona nastahili kupewa?
Nimetokea huko mwanzo nikafata link ya Download km alivyoeleza mtoa mada lkn sijafanikiwa so km kuuliza ni kudandia post nisamehewe bure kwa usumbufu
 
Wadau mbona hiyo link imeleta mafile tu

Hiyo application inaotwaje?
Haipo play store?
 
Screenshot_2016-10-29-21-35-08.png

Sijaona ht channel moja ikionyeshaau kuna lingine cha kuinstail!?
 
Iko poa ila ktk kuiboresh wek autorotate alaf channel z local km itv, clouds uzongeze
 
Back
Top Bottom