28/03/2015
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 366
- 335
- Thread starter
- #81
Ahsante kwa mrejesho, naufanyia kaziSafi sana uongeze super sport 5, 6 na 7 hapo itakua na za kibongo zaidi itakua poa sana. Umejitahidi sana
Ahsante kwa mrejesho, naufanyia kaziSafi sana uongeze super sport 5, 6 na 7 hapo itakua na za kibongo zaidi itakua poa sana. Umejitahidi sana
Hongera na ahsante mkuu,maana hawa azam walishajifanya wajanja kwa kuondoa live stream hadi ulipie kwa visa card ndio uione!sawa kiongozi nashukuru kwa ushauri wako nitaufanyia kazi na pia baada ya siku chache nitaiweka play store, kwa hiyo hizo karaha zitaondoka
AhsanteNacheki game ya Real Madrid hapa mkuu umetisha kinoma noma
AhsanteBoooonge la ap
Vipi kuhusu privacy ya taarifa za watumiaji hususan suala la udukuzAhsante
Download hii attachmentNikienda kwenye link inaniletea message hii![]()
Sawa ahsante nimepokea ushauri wako nitaufanyia kazimkuu matangazo sasa ndo hofu yangu siku za usoni yasiwe mengi
hakuna taarifa zozote ambazo zinadukuliwa, naomba nikutoe hofu kwa hiloVipi kuhusu privacy ya taarifa za watumiaji hususan suala la udukuz
jaribu kuifunga kisha ifungue tenami nimeidownload hyo aplication lakini inaload then inaacha bila kufungua chanel yoyote ile,sijuo kuna shida gani na mtandao upo poa,natumia galaxy note 2