Lovery
JF-Expert Member
- Aug 15, 2014
- 1,603
- 3,429
Nina bonge la bolo yeungNdio wewe huyu?
Nina bonge la bolo yeungNdio wewe huyu?
Unajina lainiiNina bonge la bolo yeung
Pia Sijawai vaaHata ya cheni mama
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]We vaa zako kicheni CreditAnalyst shanga waachie wamang'at na wamasai
Hata vimini vinavutia Ngono.. jeans za kupana na vikaptula...wavaaji..unawaitaje?Kama shanga zinavutia ngono, basi mvaaji ni mzamivu wa ngono... kwa neno moja ni KAHABA.
hewaaa sasa ziwe za rangi moja
Kumbe na wew ni mvaaji mzuri tuu wa hizi mamboohewaaa sasa ziwe za rangi moja
mana huyu nae kachanganya rangi kama bendera ya kenya
Huwa siyapendi nikikuta nayo sijui kama nawezaendeleaWanakuja, binafsi siwezi kabisa kuvaa hayo makitu.
Wengine hawajui matumizi yake wakivaliwa wanashangaa shangaa tu [emoji2][emoji3]
Hata vimini vinavutia Ngono.. jeans za kupana na vikaptula...wavaaji..unawaitaje?
Oky wazo zurii ...ilaa Anza na dada zako hapo nyumbani,shangazi zako,mama zako wadogo waaze utaratibu wa kuvyaa shanga