Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Sijui ndo ushamba ila nkiyaona hayo mdude inakuja taswira ya uganga ganga ,na ikitokea nmekutana na mwanamke kavaa namchanaga kua asivae ten siyaataki
 
Sijawai vutiwa na hayo makitu kwanza nahisigi yanausiana na Imani za kushirikiana

Mdada tupia cheni ya gold ile nyembambaa daadeq mbona ntafungia kibarua kwako.
 
Kama shanga zinavutia ngono, basi mvaaji ni mzamivu wa ngono... kwa neno moja ni KAHABA.
Ile ni kachumbari mkuu unapokuwa unakula pilau basi ile ndo kachumbari yenyewe
 
Kiasili shanga kiunoni sio jambo la kulishabikia hata kidogo...

Katika mila za kiafrika tuna imani ambazo zimekuwa zikiwakilishwa na vitu maumbo (symbolism)...

Sasa moja ya vitu hivyo ni hizo shanga za kiunoni kwa mwanamke, ambazo huwakilisha kitu kinaitwa "nyoka wa bibi"...

Kazi ya "nyoka wa bibi" kimazingara ilikuwa ni kumiliki tumbo la uzazi la mwanamke/kizazi cha mwanamke/uzao wa mwanamke kimazingara...
 
Hahaha
Kwenye mapenzi shanga hutumika kusisimuana haswa pale mwanaume wako ajue kuzichezea vizuri

Kiuno cha mwanamke kinapendeza sana kikiwa na shanga mbili au 3 naona zisizidi sana zikizidi sana ni kero

sitaki uvae, vaa chain
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom