Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

😗
images.jpeg
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    29.3 KB · Views: 15
Daah napenda sana mwanamke avae shanga,
mambo haya wanayajua watu wa pwani sana sana...zikiwa 3 gold ndo balaa sasa....ngoja niishie hapa, bado watu wapo kazin sio weekend leo.[emoji2089]
 
Samahanini wakuu naomba mnifundishe kuzitumia izo Shanghai maana sijui
 
nyie tatizo lenu mnakumbana na yale maburungutu ya crazy colour
shanga mwisho 3 same calor ziwe lighter nude zimefanana na rangi yako kwa mbali.
Kuna kaka yuko geti la mwendokasi kivukoni ana shanga kali balaa
NB: Na kiuno uwe nacho chenye mvuto
Niku nunulie?
 
Mi sijui nipoje za kuunganishwa kwa pamoja sizipendi napenda za kuvaa mojamoja tu ebu siku nitajaribu hizi za kuunganishwa
Asee wewe jirani yangu Kijitonyama, kumbe unazitinga eeenhe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom