Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Hahaha
Kwenye mapenzi shanga hutumika kusisimuana haswa pale mwanaume wako ajue kuzichezea vizuri

Kiuno cha mwanamke kinapendeza sana kikiwa na shanga mbili au 3 naona zisizidi sana zikizidi sana ni kero
We utanifaa nitakitafuta inaonekana unajua mambo sana
 
Binafsi nikikutana na mwanamke kavaa shanga.. huwa namuona kama malaya vile.
 
Hahaha
Kwenye mapenzi shanga hutumika kusisimuana haswa pale mwanaume wako ajue kuzichezea vizuri

Kiuno cha mwanamke kinapendeza sana kikiwa na shanga mbili au 3 naona zisizidi sana zikizidi sana ni kero
💕💕 kapicha tafadhali... alisikika jamaa moja kwa mbali sana...



Cc: mahondaw
 
Si kila mvaa shanga anajua kutumia Mkuu,Kuna mmoja alinifinya na shanga zake nyingi Kama mpiga manyanga nyege zikakata muda huo huo.
 
Hahaha wa wapi huyo
Tanzania ya magufuli Ila naogopa kutaja kabila maana utaanza kusema nawasema wapare😂..

Hivi wapare na haya mavitu wapi na wapi?au alikuwa anataka kunitoa ngozi
 
ukweli ni kwamba sie wanaume especially mimi manzi akiwa mvaaji wa shanga basi ananimaliza kabisa.
kwanza shanga huleta muonekano mzuri sana pale zinapokuwa zimefanya mizunguko kadhaa kiunoni mwa mdada hivyo basi sie huwa tunasisimka sana na kujawa na uchu tunapoziona kiunoni kwa bahati mbaya siunajua macho hayana pazia bhana kwaio mtoto wa kike unaweza kupata mume kwa uvaaji wa shanga tu.
Vilevile asikwambie mtu bhana shanga zinaongeza ladha hasa kwenye tukio letu pendwa lile la kwenye 6x6 bed.
Halafu uzuri wa shanga hutambulisha uhalisia wa mwanamke yaani mtu akiwa na wewe umevaa hizi kitu anafeel kabisa kuwa yupo na super woman.
Nawashauri wadada mlifanyie kazi hili ombi letu
AHSANTENI
View attachment 1682004
Mie shanga sizipendi kabisa. Huwa zinatoa harufu. Mwanamke nyonga mwanangu
 
Kiunoni shanga na tatoo.. kmmmmmke unazoweza onga vyeti vya ubatizo na kipaimara
 
nyie tatizo lenu mnakumbana na yale maburungutu ya crazy colour
shanga mwisho 3 same calor ziwe lighter nude zimefanana na rangi yako kwa mbali.
Kuna kaka yuko geti la mwendokasi kivukoni ana shanga kali balaa
NB: Na kiuno uwe nacho chenye mvuto

M mwenyewe napenda 3 za shanga Rangi moja tu gold[emoji1362] nikijiangalia m mwenyewe najitamani, mzee baba Ndio kabisaaa mnara unasoma 5G[emoji85]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom