Twenty Twenty One
Member
- Nov 25, 2020
- 73
- 170
Hapana. Siyapendi na naweza kumwacha mara moja nikigundua kayavaa. It's a matter of preference.Wewe si haujui maujuzi mkuu
Hapana. Siyapendi na naweza kumwacha mara moja nikigundua kayavaa. It's a matter of preference.Wewe si haujui maujuzi mkuu
Nitafukuzwaa[emoji23]Weekend jaribu
Ahsante.Hapana. Siyapendi na naweza kumwacha mara moja nikigundua kayavaa. It's a matter of preference.
Bosi, ni vile tu kwamba unapenda hizo vitu lkn haimaanishi kama mwingine hapendi ati hajui maujanja hapana mimi nakataa.Wewe si haujui maujuzi mkuu
😂😂😂 naona aibu hata kukujibu
Shanga bwana alafu ukute na stretch marks dah mi hoi[emoji3]
,🙆Njoo pm 👍🏽
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe utanifaa sana mkuu,,,umeolewa?Sijui naonaje yaan naonaga kama mambo ya kiganga [emoji23] yaan bora cheni kale kamoja tu lakini shanga HAPANA.
Hahahah kuhushu shanga au
ee kitoiDah me binafsi napenda sana shanga, nikiendaga club nikiwa na demu yani nikiziona tu shanga nachanganyikiwa kabisa na hata kama nilikua sina hisia za kumgonga basi zitakuja tu gafla. Nilishawahi kupitiliza kituo kisa tu niliona demu kavaa shanga
Ongelea kidogo kuhusu shanga....Mie nimependa hizo rangi za kucha tu..
Amenipa idea,nikitoa hii niliyopaka napaka kama hiyo