Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Natamani na nawashauri wadada wote mvae shanga

Mi napenda demu anayevaa cheni kiunoni tena iwe ya gold (moja tu asivae nyingi).
Mwanamke anayevaa shanga namuona Kama mpiga ramli tu.
Amna wewe shanga ndo mwake hao wa cheni sanasana masister duu
 
Nikiona shanga najua nipo na kahaba, kama ni mchepuko nitajipigia kweli kweli... lakini siwezi kuoa wa namna hii.

Ni kama ambavyo napenda mademu walevi, lakini sio mke wangu.
Sasa Kwanini huone kama kahaba?
 
Sijui naonaje yaan naonaga kama mambo ya kiganga [emoji23] yaan bora cheni kale kamoja tu lakini shanga HAPANA.
Hapana haihusiani na mauganga ivyo ni vitu vinavyompagawisha mwanaume vinaleta msisimko wa hatari.
 
Dah me binafsi napenda sana shanga, nikiendaga club nikiwa na demu yani nikiziona tu shanga nachanganyikiwa kabisa na hata kama nilikua sina hisia za kumgonga basi zitakuja tu gafla. Nilishawahi kupitiliza kituo kisa tu niliona demu kavaa shanga
Yaa mwanaume rijali lazima apende shanga ndo ugonjwa wetu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom