Nataka nianze kula mjani

Nataka nianze kula mjani

Yaani unataka kuwa mvuta bangi!

Elimu ya saikolojia inasema'ivii?

Ukiona mtu yeyote kwenye hadhara kaanza kuulizia tija ya jambo fulani, mara nyingi ingawa si mara zote, mtu huyo jambo hilo huwa keshalifanya, ana uzoefu nalo na analipenda.

Ukiona mtu anamponda ama kumsifia mtu wa jinsia tofauti na yeye, elewa mtu huyo anampenda sana mtu huyo na anatamani sana kuwa kwenye mahusiano naye.

Ukiona mtu analaani sana tabia fulani, mfano wizi, uzinzi nk nk, elewa mtu huyo ana tabia hizo kisilka, huzifanya kwa njia nyingine ama atakuja kuzifanya.

Kwa muktadha huu, wewe ni mvuta bhangi mzuri tu,ila lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kuelewa vipimo vya kiwango cha madawa ya kulevya mwilini kwa mtumiaji, huonekana pindi akipimwa hasa wakati akisafiri kwenda nchi za ughaibuni!

Lakini uelewe kwamba, bhangi zako hizo zinakupatia mzuka wa muda tu na mara nyingi mzuka wa bhangi ni marue rue yasiyo na uhalisia yanayoleta upumbafu.

Omba Mungu akuue ukiwa kijana kabla haujazeeka.

Maana kuufikia uzee ukiwa mvuta bhangi ni bahati, kutokana na madhara mengi sana yatokanayo.

Hata ukabahatika kuzeeka, utakuwa ni mzee asiyekuwa na manufaa yoyote katika jamii inayomzunguka, yaani mzee fala asiye na ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujabakisha kitu Mkuu.👍👍👍
 
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
Kumbe ndio maana watu wanasema hayo manyimbo ni ya kipepo,now I see why.
 
Nyeto umeachaje?
1.Amini kuwa punyeto ni kinyume na mapenzi ya Mungu, Mungu anataka hizo shahawa zifanye kazi ya uumbaji (kutungisha mimba), usimwage nje na wala kwenye kondomu. Hivyo kama punyeto ni kinyume na mapenzi ya ,Mungu basi Punyeto ni Dhambi, Je Unafurahi au unapenda kutenda Dhambi??

2.Kama jibu ni Ndio, OMBA MUNGU akujaalie umjue na umtii yeye.

3.Kama jibu ni HAPANA, Fanya yafuatayo na NAKUHAKIKISHIA Utaacha Punyeto.

•Anza kwa kufuta picha za ngono zote, na kujitoa kwenye Makundi/Kurasa/Web zote zenye maudhui ya Ngono.

••JUTA, Kisha Muombe MUNGU MWENYEZI TOBA KWA KOSA LA KUJICHUA, OMBA MUNGU AKUFUTIE ADHABU NA MADHARA YOTE AMBAYO UMEYAPATA KIMWILI NA KIROHO KWA UPIGAJI PUNYETO.

•••Weka Ahadi kwa Mungu kuwa hutorudia kupia punyeto, na Muombe YEYE Akuongoze USIPATE Tamaa, na Wala usirudie.. kila Asubuhi ukiamka, na jioni ukikaa kitandani sema hivi, Ee Mungu, Zuia tamaa za moyo wangu nijalie nisijichue tena, geuza tamaa zangu.. Amina.

••••Kua muaminifu kwa ahadi yako kwa Mungu, Mungu anapenda WAAMINIFU.

Ubarikiwe
 
Niaje wakuu ..

Natarajia kuanza kula mjani as a way of boosting my confidence and self esteem, ninachohitaji kujua ni je kuna madhara yoyote ya kiafya yatokanayo na mjani huu mtukufu.

Vipi kuhusu kazi labda abroad haiwezi kuleta noma labda wakikupima afya alafu mjani ukawa detected ..

Karibuni ..
KUJIAMINI HALISI KWAPATIKANA KWA NJIA YA KUMJUA NA KUMTUMAINI MUNGU, Na sio kumoka.

Mtafute Mungu, Utajiamini kupita Maelezo.
 
Ijue tofauti kati ya kuvuta bangi na kuwa mvuta bangi ni sawa na utofauti kati ya kunywa pombe na kuwa mlevi ..
Hakika watu wengi wanavuta bangi lakin sio wavuta bangi au kuna mtu anapinga?
Iko hivi ukipita maeneo ukahisi harufu ya bangi tayari umevuta
 
Bangi ni nzuri sana

Ila sio nzuri kwa kila mtu, na hii inatokana na kichwa cha (mtumiaji)mtu wepesi wake.

Haifai kutumia bangi kama unakichwa chepesi/wenge.
Wanaotumia mjani alaf vyichwa vyao vyepesi ndio wanaofanya mjani uwonekane haramu.


Binafsi :- Nikijihis barid au misuli kukaza nikipata walau msumari mmoja mwili unakaa sawa

Kweny kazi ngum mfano kupakia na kushusha mbolea,ikitokea nikapata uyonge wa kazi kua ngum sana basi nikipata misumari yang kadhaa dah moyo unakua na mzuka sana wa kazi

Ganzi:-sihis maumiv kama lamda itakokea mwili kuniuma au kuchoka

Pongezi kwa masadali

Shettani
imasco
ibra cadabra
babu kocha
msizigga
 
Mm kila nikiamka alfajiri napiga stiki moja then naoga maji baridi huku najiandaa kwenda job. Ganja raha sana ila usipende kushinda maskani gogo zembe. Chukua mzigo ukague kama og then vuta kwako taratibuu kwenye garden yako nyumbani, usimeze mimoshi kama warugaruga. Ukimaliza oga swaki alafu shushia na dompo wine glass moja huku unasoma kitabu cha novel. Yani ni raha kuliko kupewa mabikira 70 watakuchosha tu
They will never understand the vibes
 
Yaani unataka kuwa mvuta bangi!

Elimu ya saikolojia inasema'ivii?

Ukiona mtu yeyote kwenye hadhara kaanza kuulizia tija ya jambo fulani, mara nyingi ingawa si mara zote, mtu huyo jambo hilo huwa keshalifanya, ana uzoefu nalo na analipenda.

Ukiona mtu anamponda ama kumsifia mtu wa jinsia tofauti na yeye, elewa mtu huyo anampenda sana mtu huyo na anatamani sana kuwa kwenye mahusiano naye.

Ukiona mtu analaani sana tabia fulani, mfano wizi, uzinzi nk nk, elewa mtu huyo ana tabia hizo kisilka, huzifanya kwa njia nyingine ama atakuja kuzifanya.

Kwa muktadha huu, wewe ni mvuta bhangi mzuri tu,ila lengo la kuanzisha uzi huu ni kutaka kuelewa vipimo vya kiwango cha madawa ya kulevya mwilini kwa mtumiaji, huonekana pindi akipimwa hasa wakati akisafiri kwenda nchi za ughaibuni!

Lakini uelewe kwamba, bhangi zako hizo zinakupatia mzuka wa muda tu na mara nyingi mzuka wa bhangi ni marue rue yasiyo na uhalisia yanayoleta upumbafu.

Omba Mungu akuue ukiwa kijana kabla haujazeeka.

Maana kuufikia uzee ukiwa mvuta bhangi ni bahati, kutokana na madhara mengi sana yatokanayo.

Hata ukabahatika kuzeeka, utakuwa ni mzee asiyekuwa na manufaa yoyote katika jamii inayomzunguka, yaani mzee fala asiye na ushauri.

Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
 
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nakunywa kabisa mjomba... izo imani zenu bana... af pysychologist ndo mnaongoza kuwa fucked up sometime
 
Welcome jua
Kuna dry na mixer.chaguo Ni lako
Mdomo utakuwa mweusi na umelegea
Kunywa maji sana
Inanukaga mno rahisi kushtukiwa
Ikikaa Sana kichwani inaficha homa siku homa ikilipuka RIP in advance
Ukivuta unajistukia hutaki mtu wa familia akujue Kama macho mekundu
Tamu Sana feeling alright hasa ukiwa UnaKula ngoma za hip-hop kina Roma,nikki,ghetto,kad go,ngwair,na wengineo wengi
View attachment 1887668
hahaha nimekujua kwenu karibu na dv8
 
We jamaa fala sana... embu fanya research vizuri za watumia bangi... we ushazoea wavuta bangi wa vijiweni wasio na kzlazi maalum.... go deeper
Kweli jamaa anahitaji kufanya research zaidi, asiishie tu kwa wale wakaa vijiweni wakilipuliza, kuna watu wana maisha yao na wanakula mjani kama starehe tu na huwezi kuwajua ..
 
Yaani ni 'go deeper' kuchunguza wavuta bhangi mie!

Nishachunguza ikatosha, upo huru na maisha yako,kuvuta utakavyo baba, zingine tafuna kabisa mkuu na usiwe na wasi wasi wowote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila mvuta bangi anakaa kijiweni au jobless wapo watu wengi tu wenye maisha yao na wanakula mjani for leisure mkuu ..
 
Kweli jamaa anahitaji kufanya research zaidi, asiishie tu kwa wale wakaa vijiweni wakilipuliza, kuna watu wana maisha yao na wanakula mjani kama starehe tu na huwezi kuwajua ..
Kakremisha mavitabu yake huko anakuja kujifanya mtaalamu
 
Back
Top Bottom