Vitaimana
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 3,531
- 1,566
Wataulizaje mlango wa kutoka wakati wanadhani ndoa ni paradise?
mmmh paradise our foots.
Wataulizaje mlango wa kutoka wakati wanadhani ndoa ni paradise?
Looohh hapo hakuna mume
ImeandikwaWanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
Mke kama mnaelewana wawili yatosha, Kama wamekwazana mshauri mkeo amuangukie Mama yako. Myamalize all in all wewe hujaolea Familia wala ukoo ulioa kwa matakwa yako binafsi. Kama mtoto aliye zaliwa ni wa kwako yatosha, Ucmuache bint wa watu akaenda kuteseka na kichanga kisio na hatia.
THINK OUT OF THE BOX.
Mkuu Fedora
Sijaoa lakini ninachojua hao watu wawili hawachangamani (mke na mama mkwe). Kwanza katika hali ya ujauzito mke alihitaji matunzo na wajawazito huwa wanamabadiliko ambayo hata mume hukasirika sembuse mama mkwe ambaye hajui utamu wake??
Fikiri kabla hujaamua, huo udhaifu ulitakiwa kuujua kabla hujamuoa na uukubali kwamba utaweza kuuvumilia na hautakusumbua sasa wewe kama uliangalia tako ndio matatizo hayo. Wewe ndio umekosea sio yeye kaa nae mvumilie na tako si analo?
Wapo sana hawa....
Mwanamke mwenye tabia chafu atakuibisha kila siku haswa wenye maneno ya hovyo kama amelewa saa zote
Ulioa kwa ajili ya mama yako? Acha ufala
kwa sampuli hizi
kweli wanaume ni wachache...........
Kama hakuwa hivyo, hujawahi kufikiria inaweza kuwa ni spiritual attack? Jaribu kuexplore upande huo kabla ya kuachana.Mh Asante kwa huu ushauri japo na yeye wakati wa uchumba hakua na tatizo la kum-disqualify, ila baada ya miezi kadhaa ndani ya nyumba akaota mapembe
We ----- ndoa ndoano kama huwez kujenga bomoa ila utajuta sana...kenge wwe
Pole pole jamani, naomba matusi na lugha zote chafu zielekezwe kwangu msije kuwaharibia wengine siku zao.
we kama bado njoo kwangu!
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
wew mwache tu kwan unazaliwa nae? ila kabla hujamwacha njo chukua copy ya the law of marriage Act bureeee
Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia