Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Jamani mleta uzi naona ana point. It's so difficult and shameful to live with a wife that doesn't respect the woman who brought you to this world!
Jamani kuna wanawake hawana adabu na heshima! Huyu bwana anasema mkewe ni mara yake ya kwanza kuishi na mama yake. Si conclude kuwa mama yake jamaa Hana mapungufu, labda ndio mshari. Lakini kimaadili mkamwana/mwilima kumjibu hovyo/kumtusi mzazi wa mwenza wake ni KOSA KUBWA SANA KWA TAMADUNI ZETU!

USHAURI WANGU:
1-Angalia mkeo anajutia vipi makosa yake. Kuna wengine akili zao dakika tatu mbele, kutenda kosa haoni na hajali hata kujutia/kutubu haoni maana!
2-Tafakari mtazamo wa mama yako KWA mkeo. JE ANACHUKULIAJE TATIZO LA MKEO? Yupo tayari kusamehe na kusahau?
3-Kaeni kikao cha familia zote mbili kujadili tabia ya mkeo.
 
Kwanza tanga za mgogoro na husisha watu wa busara vikao na hili jambo lijadiliwe. Halafu utajua la kufanya. AU Siku hizo hakuna wazee wa busara?
 
Utovu gani wa nidham pengine ww ndio tatizo , hujawah kusikia tabia za wanawake wakiwa na ujauzito? Weka wazi
 
Lool!pole punguza jazba tafuta wazew wa busara na utatue tatizo sinkukimbia!pole sana
 
duh, jamaa mie naona unamuonea huyo kichanga....y ulimpeleka kwa wakwe? mamako ni mkunga? mwanao wa kwanza kabisa,,, ungemaliza kimya kimya bila kuuleta huu uzi hapa.....!!!! mamako kakutafutia mke mwingine sio......tunza hicho kichanga brother hata kifikishe 3yrs then fanya yako..

Tunajua wewe unayo maamuzi na mahakamani ni kudhibitisha tuu...muonee huruma mwanao wa kwanza.....fikiria babako angemtaliki mamako ukiwa mchanga....pata picha tu mwenyewe...........sio kwamba naunga mkono fujo ya mkeo hapana......wengi ni mavictim wa hizo ishu.....but watoto ni baraka kutoka kwa MUNGU.....
 
Ivi kweli unafikiria kiume? Kwani huyo mkeo hana kwao mpaka umpeleke kwa mzazi wako? Huyo Ni mkwewe mzazi anataka kukandwaa kutizamwa kwanini wasifanye hayo mambo watu wa kwao? Au ubahili? Bora umuwache hustahili kua na mke..
 
Bro usimwache mke eti kisa smeonesha tabia ya upotevu wa nidhamu, basi kama sisi tulioa tungekuwa kama tungea kila wiki na kutimua, pls usimwche mkeo kaa nae vzr atabadilika
 
Jamani mleta uzi naona ana point. It's so difficult and shameful to live with a wife that doesn't respect the woman who brought you to this world!
Jamani kuna wanawake hawana adabu na heshima! Huyu bwana anasema mkewe ni mara yake ya kwanza kuishi na mama yake. Si conclude kuwa mama yake jamaa Hana mapungufu, labda ndio mshari. Lakini kimaadili mkamwana/mwilima kumjibu hovyo/kumtusi mzazi wa mwenza wake ni KOSA KUBWA SANA KWA TAMADUNI ZETU!

USHAURI WANGU:
1-Angalia mkeo anajutia vipi makosa yake. Kuna wengine akili zao dakika tatu mbele, kutenda kosa haoni na hajali hata kujutia/kutubu haoni maana!
2-Tafakari mtazamo wa mama yako KWA mkeo. JE ANACHUKULIAJE TATIZO LA MKEO? Yupo tayari kusamehe na kusahau?
3-Kaeni kikao cha familia zote mbili kujadili tabia ya mkeo.


mkuu yaani uitishe kikao cha kujatili tabia za mkeo.....utakuwa hujitambui wewe.... kama ww mwenyewe umemkanya hakusikia, atasikia la vikao....jamaa yuko sahihi ila kubwa hapo ni MTOTO - kichanga....
 
Bro usimwache mke eti kisa ameonesha tabia ya upotevu wa nidhamu, basi kama sisi tuliooa tungekuwa kama tungea kila wiki na kutimua, pls usimwche mkeo kaa nae vzr atabadilika
 
Nitumie namba za huyo mkeo ili muje kanisan kwangu niwapatanishe,amina.
 
[/B]
mkuu yaani uitishe kikao cha kujatili tabia za mkeo.....utakuwa hujitambui wewe.... kama ww mwenyewe umemkanya hakusikia, atasikia la vikao....jamaa yuko sahihi ila kubwa hapo ni MTOTO - kichanga....

Ndio maana akaitwa mke!
Ndio maana alitolewa mahari
Ndio maana alienda kuishi kwa mama wa mume wake!
MKE NA MUME NI VIUNGANISHI VYA FAMILIA ZA PANDE MBILI, HIVYO KWA BAYA AU ZURI FAMILIA HUHUSISHWA KWA USHAURI PALE IKIBIDI!
 
USHAURI WANGU:
1-Angalia mkeo anajutia vipi makosa yake. Kuna wengine akili zao dakika tatu mbele, kutenda kosa haoni na hajali hata kujutia/kutubu haoni maana!
2-Tafakari mtazamo wa mama yako KWA mkeo. JE ANACHUKULIAJE TATIZO LA MKEO? Yupo tayari kusamehe na kusahau?
3-Kaeni kikao cha familia zote mbili kujadili tabia ya mkeo.

Ok. Asante kwa ushauri wako, naanza kuufanyia kazi kama ulivyo ainisha
 
Mkuu STOP !! Niwieradhi kakangu... Kimantiki wewe ndo umekosea !!! Hebu jirudi utafakari vipi umpeleke kwenu ktk uzazi?
alafu Mama ni mtu mzima huwa ana misongo yake binafsi! Obviosly picha haztoenda vizuri hapo!! Na wakati huohuo Mke yupo mwezi wake wa mwisho...So lazima patakuwepo taharuki za kike!! Think wise,twice!!

Uko sawa.
Huyu jamaa kwanza atumbie huo utovu wa nidhamu mkubwa ni upi.
 
Badala hata ya kutuainishia huo utovu wa nidham tujue tunakusaidiaje unakimbia kuacha tuuu sasa utawaacha wangap na angalia na background ya bi mkubwa wako coz wengne huwa watata mmo.
Na pia unaweza kuta hakumwelewa mwanamke wako toka umemwoa dat y hvyo so chunguza usikurupuke

Hata mimi namshangaa sana huyu jamaa,angetuambia kosa hasa la mke wake ni nini,maana wengi wetu humu tumeoa,so tungejua tuanzie wapi kumshauri,yeye anakuja na topic ya kuacha tu.
 
Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia
kwanini hukubaki nawe wewe....?sio mantiki yoyote hapa eti kawakosea adabu kwenu, je umemuuliza tatizo nini...?
 
Back
Top Bottom