Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Asante kwa muda wako
Nafikiri hujasoma mwanzo wa huu uzi, sihitaji ushauri wa kumuacha au la ila nahitaji kufahamishwa sheria za ndoa na jamii, ili nizitumie ktk maamuzi yangu.



hujielewi ww
 
Jamani ila kunw wanawake hawana adabu na wakwe zao yaani ana mdomo mchafu usiombe ikukute hii kitu utagombana na kila mtu
Fedora i know difficulties it is kua na mke km huyohao wanaokuona bogas hao hawajui tuna hyo ndoa hapo ht raha na amani hamna
 
Badala hata ya kutuainishia huo utovu wa nidham tujue tunakusaidiaje unakimbia kuacha tuuu sasa utawaacha wangap na angalia na background ya bi mkubwa wako coz wengne huwa watata mmo.
Na pia unaweza kuta hakumwelewa mwanamke wako toka umemwoa dat y hvyo so chunguza usikurupuke
 
Badala hata ya kutuainishia huo utovu wa nidham tujue tunakusaidiaje unakimbia kuacha tuuu sasa utawaacha wangap na angalia na background ya bi mkubwa wako coz wengne huwa watata mmo.
Na pia unaweza kuta hakumwelewa mwanamke wako toka umemwoa dat y hvyo so chunguza usikurupuke

Nimekwisha ainisha kwenye kurasa za nyuma jaribu kuzipitia kidogo
 
jamani ila kunw wanawake hawana adabu na wakwe zao
yaani ana mdomo mchafu usiombe ikukute hii kitu utagombana na kila mtu
Fedora i know difficulties it is kua na mke km huyo
hao wanaokuona bogas hao hawajui tu
na hyo ndoa hapo ht raha na amani hamna

Kweli kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ukishamuacha utoe taarifa kabisa maana wewe kwako amekuwa kipipa baada ya kujifungua lakini kuna rafiki yangu wa Musoma ana miaka 15 hajapata mtoto kwa mkewe hivyo ukimuacha atakuja amuchukue. Kwake shida ni mtoto sio tabia na wewe ukikubali kwa tabia za kule unaweza kuwa unamuongezea watoto iwe kama nyumba ntobo
 
Hebu njoo kwanza na yapi aliyo kosea, na wewe ulijaribu vp kukemea? pia ujue kama alikuwa na mimba jaribu saivi kajifungua. Lazima utambue kuwa mjamzito ana maudh mengine si yeye na anapojifungua hupotea, KUACHANA SI SULUHISH
 
Mkuu STOP !! Niwieradhi kakangu... Kimantiki wewe ndo umekosea !!! Hebu jirudi utafakari vipi umpeleke kwenu ktk uzazi?
alafu Mama ni mtu mzima huwa ana misongo yake binafsi! Obviosly picha haztoenda vizuri hapo!! Na wakati huohuo Mke yupo mwezi wake wa mwisho...So lazima patakuwepo taharuki za kike!! Think wise,twice!!

Sawa sawa
 
Back
Top Bottom