Nataka kumuacha mke wangu

Nataka kumuacha mke wangu

Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia
Mkuu, Niamini wadada zetu hawa ni hulka tofauti kuliko tunavyo dhania "me" kumradhi mkuu jaribu uchukwe mapumziko nje ya mji wako....na ufikirie kichangaa chako pia!! Kwani makosa yasiyo na taathira huwa ni kadhia nyepesi la kupotezeka tu!! Tena unaweza tumia wakat i wa mbele huko kumkanya.... siyo instant (hapohapo) utaharibu kwako!!
Poleni...
 
Hebu kaa nae chini uzungumze nae..na umueleze ukweli alipo kosea na ikiwezekana ajirekebishe na akaombe msamaha! Naona kama umeharakisha sana labda kama hii si sababu ya pekee!Unajuaje hayo matatizo hayaku sababishwa na hali yake?

Yani unataka kuvunja ndoa kwa sababu rahisi namna hii? Mbona ndoa yenu inarekebishika kama sababu ni hii pekee? Tafuta wakubwa wako ,baba,mama na wakwe na mkeo mkae muongee myamalize! Kuvunja ndoa si rahisi namna hii..hatu ukienda popote wata shangaa sana kama hii ndio sababu!

Hebu kaa na mkeo muongee hii ni sababu dhaifu sana kuvunja ndoa msamehe msonge mbele..yani nguvu uliyotumia kufunga ndoa ivunjwe kwa sababu hii?Utatumia miaka kumi kuvunja ndoa kwa sababu hii!

Kaa chini myaongee!
 
Huo utovu wa nidhamu baadhi (mwingi ) nimeuona mwenyewe
Mhusika nimemuuliza na kujibu kwa jeuri
Alienda kwetu kwasababu wazazi wake walikataa asiende kwao
Yeye mwenyewe hakupenda kwenda ukweni na hakukua na option nyingine.
Hakuna alishauri talaka isipokua ni maamuzi ninayotaka kuyafanya mwenyewe

Utovu wa nidhamu ni kama upi ulio uona wewe mwenyewe?
why kwao walimkataa?




Kuna mijitu ina vichwa vizito......sijui Darasani ilikuwaje.........sasa wewe mwenzako anakuuliza mara mbili mbili kuwa tatizo lilikuwa nini ........unaleta ngonjera na mafumbo hapa.......sasa kama hautaki kutuelezea huo utomvu wa nidhamu kwa mkeo ni wa kitu gani ulileta uzi wa malalamiko ili iweje.........nyambafu.......hebu funguka wazi upewe ushauri.
 
Ni mwingi ukitia ndani kumtukana mkwe wake
Kwao walimkataa kwa kisingizio cha mila zao haziruhusu

Ina maana haya yametokea baada ya mimba?na umekuja kuyaona baada ya kumuoa?
 
Kuna watu ktk ndoa ni wabinafsi ,kama mtoa mada,umechunguza yote unayoambiwa na mama take?!Kwa ufup haujitambui na haujui thaman ya ndoa.watch out.
 
Mkuu, Niamini wadada zetu hawa ni hulka tofauti kuliko tunavyo dhania "me" kumradhi mkuu jaribu uchukwe mapumziko nje ya mji wako....na ufikirie kichangaa chako pia!! Kwani makosa yasiyo na taathira huwa ni kadhia nyepesi la kupotezeka tu!! Tena unaweza tumia wakat i wa mbele huko kumkanya.... siyo instant (hapohapo) utaharibu kwako!!
Poleni...

Kabla ya hili tukio nimekwisha mkanya mara kadhaa juu ya domo lake na mambo mengine lkn inaonekana hasikii
 
Kuna watu ktk ndoa ni wabinafsi ,kama mtoa mada,umechunguza yote unayoambiwa na mama take?!Kwa ufup haujitambui na haujui thaman ya ndoa.watch out.

Mengi nimeyaona mwenyewe machache sana ameniambia mama
 
Kabla ya hili tukio nimekwisha mkanya mara kadhaa juu ya domo lake na mambo mengine lkn inaonekana hasikii
OK sasa Mpendwa Fedy nimekupata... Haswa kuwa Mungu katuumba wanaume kuwa na Misuli,nguvu,Ukakamavu,ujasiri,uvumilivu nk nk!! na Kamuumba mwanamke kuwa na maneno (ulimi/mdomo mkali) na mbavu moja zaidi ya kulea kizazi chake!! Hivyo wee potezea..... hio siBig Deal!! ishi na familia yako vizuri..
 
Daaaaa punguza kwanza hasira maana naona unahasiraaa kilo million mia moja .relax then ndio nikushauri nn cha kufanya
 
OK sasa Mpendwa Fedy nimekupata... Haswa kuwa Mungu katuumba wanaume kuwa na Misuli,nguvu,Ukakamavu,ujasiri,uvumilivu nk nk!! na Kamuumba mwanamke kuwa na maneno (ulimi/mdomo mkali) na mbavu moja zaidi ya kulea kizazi chake!! Hivyo wee potezea..... hio siBig Deal!! ishi na familia yako vizuri..

Asante kwa muda wako,
Naweza kupotezea lkn ntakua najenga familia iliyojitenga na nyingine (ambayo siipendi) maana hakuna ndugu watakao mpenda na kumthamini huyo mwanamke kwa kumdhalilisha mama yao
 
data ngoja nkusaidie
Kama sheria itanitaka nifanye hivyo ntatoa

We kweli mthenge...
Shahawa zako mwenyewe unasema matumizi kutoa kama sheria itakutaka.
Hujui kuwa ni jukumu lako ?
Au unafikiri kuitwa baba kunamaanisha nini ?
Thenge wahed na utaoa utaacha mpaka unazeeka
 
Last edited by a moderator:
Daaaaa punguza kwanza hasira maana naona unahasiraaa kilo million mia moja .relax then ndio nikushauri nn cha kufanya

Actually tukio limefanyika kama wiki mbili au tatu zimepita, nilikua na hasira kipindi hiko saiz at least zimeshuka
 
Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia

Alifanya ujinga gani? Mbona husemi? Funguka m-baba
 
Mke kama mnaelewana wawili yatosha, Kama wamekwazana mshauri mkeo amuangukie Mama yako. Myamalize all in all wewe hujaolea Familia wala ukoo ulioa kwa matakwa yako binafsi. Kama mtoto aliye zaliwa ni wa kwako yatosha, Ucmuache bint wa watu akaenda kuteseka na kichanga kisio na hatia.
THINK OUT OF THE BOX.
 
data ngoja nkusaidie

We kweli mthenge...
Shahawa zako mwenyewe unasema matumizi kutoa kama sheria itakutaka.
Hujui kuwa ni jukumu lako ?
Au unafikiri kuitwa baba kunamaanisha nini ?
Thenge wahed na utaoa utaacha mpaka unazeeka

Asante kwa muda wako
Inaonekana mawazo yako ni one way....unauhakika gani kama hizo shahawa ni zangu....actually sihitaji debate juu ya mtoto naomba usome title uzi vizuri
 
Last edited by a moderator:
Unataka ushauri jf wa either kumwacha mkeo or not!u r so dumb, uz ur own common sense

Asante kwa muda wako
Nafikiri hujasoma mwanzo wa huu uzi, sihitaji ushauri wa kumuacha au la ila nahitaji kufahamishwa sheria za ndoa na jamii, ili nizitumie ktk maamuzi yangu.
 
Back
Top Bottom