Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,118
Mkuu, Niamini wadada zetu hawa ni hulka tofauti kuliko tunavyo dhania "me" kumradhi mkuu jaribu uchukwe mapumziko nje ya mji wako....na ufikirie kichangaa chako pia!! Kwani makosa yasiyo na taathira huwa ni kadhia nyepesi la kupotezeka tu!! Tena unaweza tumia wakat i wa mbele huko kumkanya.... siyo instant (hapohapo) utaharibu kwako!!Asante kwa ushauri wako lakini nilimpeleka kwetu baada ya wazazi wake kunikatalia kwa kusema mila haziruhusu. Pia ujinga alioufanya huko hata kwangu alishafanya na nikamkataza lkn hakusikia
Poleni...