Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,153
Acha my ndugu, tusikariri kua mama mkwe ni mwiba.acha upimbi wewe .. mama yako hawezi kumtreat in good way hata siku moja sisi ndiyo wanawake bwana unafki mbele.. trust me mama yako ndiyo mwenye shida ndiyo maana now days tukijifungua bora kukaa na wazazi wetu kuliko mama mkwe ... KOMA HUNA HAYA WEWE MAMA YAKO NI MALAIKA MKEO KUKAA KIMYA UNADHANI NI MPUUZI AU ANAVUMILIA TU..
Juzi tu tumetoka kumweka kitako mdogo wangu kwa ku mtreat vibaya mama mkwe wake. Yule mama ni.mstaarabu mno na tukamuambia dogo umuombe msamaha huyu mama maana hajakukosea lolote na umemnyanyasa sana. Na huwezi amini, yule mama hakumwambia mwanae vituko vya vya mkewe.
Kila mtu anaweza kukosea.