Ok. Asante kwa ushauri wako, naanza kuufanyia kazi kama ulivyo ainisha
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
Wanajamvi, ni kama wiki
tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua
nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo
ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa
kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo
wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza
kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
Wanajamvi, ni kama wiki tatu hivi tumebahatika kupata mtoto wa kwanza lkn kabla wife hajifungua nilimpeleka kwa mama yangu kwaajili ya huduma baada ya kujifungua, ndo ilikua mara yake ya kwanza kwenda kuishi na mama mkwe, cha ajabu kwa kipindi chote alichokaa nae ameonesha utovu wa nidhamu mkubwa.
Hivyo nimedhamilia kuachananae muda tu atakapo pata nguvu. Hivyo wanaojua sheria za ndoa na jamii naomba mnijuze ni sheria gani inaweza kunibana ktk hayo maamuzi yangu.
Asante nawasilisha tafadhali.
duh, jamaa mie naona unamuonea huyo kichanga....y ulimpeleka kwa wakwe? mamako ni mkunga? mwanao wa kwanza kabisa,,, ungemaliza kimya kimya bila kuuleta huu uzi hapa.....!!!! mamako kakutafutia mke mwingine sio......tunza hicho kichanga brother hata kifikishe 3yrs then fanya yako..........tunajua wewe unayo maamuzi na mahakamani ni kudhibitisha tuu...muonee huruma mwanao wa kwanza.....fikiria babako angemtaliki mamako ukiwa mchanga....pata picha tu mwenyewe...........sio kwamba naunga mkono fujo ya mkeo hapana......wengi ni mavictim wa hizo ishu.....but watoto ni baraka kutoka kwa MUNGU.....
Ivi kweli unafikiria kiume? Kwani huyo mkeo hana kwao mpaka umpeleke kwa mzazi wako? Huyo Ni mkwewe mzazi anataka kukandwaa kutizamwa kwanini wasifanye hayo mambo watu wa kwao? Au ubahili? Bora umuwache hustahili kua na mke..
Kimsingi, nafahamu kuwa sinta mtendea haki maana ni haki yake kupata malezi toka kwa wazazi wote wawili lkn mama kichanga ndo msababishaji, na nafikiri hii ndo adhabu inayo mfaa ukilinganisha na jitihada nyingi nilizozifanya kumrekebisha kabla ya hili ambazo hazikuzaa matunda.
Kimsingi, nafahamu kuwa sinta mtendea haki maana ni haki yake kupata malezi toka kwa wazazi wote wawili lkn mama kichanga ndo msababishaji, na nafikiri hii ndo adhabu inayo mfaa ukilinganisha na jitihada nyingi nilizozifanya kumrekebisha kabla ya hili ambazo hazikuzaa matunda.
Bro usimwache mke eti kisa ameonesha tabia ya upotevu wa nidhamu, basi kama sisi tuliooa tungekuwa kama tungea kila wiki na kutimua, pls usimwche mkeo kaa nae vzr atabadilika
Kuna mijitu ina vichwa vizito......sijui Darasani ilikuwaje.........sasa wewe mwenzako anakuuliza mara mbili mbili kuwa tatizo lilikuwa nini ........unaleta ngonjera na mafumbo hapa.......sasa kama hautaki kutuelezea huo utomvu wa nidhamu kwa mkeo ni wa kitu gani ulileta uzi wa malalamiko ili iweje.........nyambafu.......hebu funguka wazi upewe ushauri.
Hilo swala la kumpeleka kwetu nimeshalijibu kwenye page za nyuma kidogo jaribu kuzirejea utapata mengi
kwanini hukubaki nawe wewe....?sio mantiki yoyote hapa eti kawakosea adabu kwenu, je umemuuliza tatizo nini...?