tatizo ndiyo kujiamninisha tabia hubadilika .. mimi nasema nitaamini mlima utahama siyo tabia ya mtu aisee.... kama nikiona tabia siwezi ivumilia nasepa fasta wala sijuulizi kuja kufa nikiwa mdogo kisa likitu limelelewa au limejiweka hivyo nani anataka.....
huyu lazima kaoa umbo kudadeki analo
Umeona eeh..inaitwa kuoa 'head turners'...shurti nikitokea mbele za marafiki zangu watu waseme naam..bro kavuta kitu. Kumbe kiuhalisia kavutwa yeye...