Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

Hahahahahaha.....! Kweli Marytina una vituko vya ubunifu....! Je, yule mzungu umesha mpata? Na, je huyu unayemtafuta, ambaye lazima awe legelege, na ambaye unaweza kumthibiti, atakuwa na nguvu za kukubaka walau mara moja kwa mwezi? Hebu acha ufundi wa kishairi mama....!
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

hahaha marytina nimecheeeka LOL Nakumbuka ushaleta habari ya mmasai wako iweje mtu aje amptie kama kipanga bwana ..
hebu kaza buti mama
 
umeshachunguza ni kwanini huyo mmasai anaelekea kukumwaga?

usihangaike kutoa boriti kwa mwenzio, jichunguze kwanza..................
Isije kuta ndo nyie kunako 6x6 mnaleta mapozi na kujishaua tu, lakini kazi hamuiwezi!!!

sidhani kama unampakulia vizuri mtoto wa kiume atakuacha..................thubutuuuuuuuuu

anaebisha aseme hapa.....................

Mimi nabisha.................
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti

Pole sana dada yangu mzuri. Ushauri wangu ni kuwa mwamini BWANA YESU awe BWANA na Mwokozi wa maisha yako, ya kale yatapita yote yatakuwa mapya kisha atakupa mume atakayekuwa wa kwako tu na wewe utakuwa wa kwake tu kinyume na hapo sahau.
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti


hayajakukuta bado,haya ni maneno ya msichana ambaye hajapambana na life vilivyo
 
nina mashine nzito kama unaweza nipm mie nimeshakimbiwa na vimwana kibao
 
Naona hiyo net ya 600,000 inakupaisha mabega sana.Bado ni kidogo sana kama utataka kuishi a real decent life!Pia naona ethically una matatizo.Please come back to ground level, maisha yatakuwa na maana zaidi.Life is not about man and money only.

Keshakwambia mama yake mchaga, na baba Mngoni, kwa hiyo fedha ni lazima ifanye mambo.
 
Marytina!

Ukali wewe, Matusi wewe, Ubishi wewe, Masharti wewe, Wivu wewe.......nafikiri kurushwa roho ndio dawa inayokufaa haswa.

Unataka mume bado unaeleza unamtaka sana huyo Mmasai wako huo ni Ubinafsi au..??

Anyway kwa sababu umetangaza dau, acha niingie kama niko kazini; Nimepitia Mchanganuo wa dau lako, napata kama 150,000 kwa wiki ambayo ni kama 21,428 kwa siku ambayo ni sawa na kama Tsh. 892 hivi kwa saa. Hapo sijafanya overtime plus siku za weekend na sikukuu kama Eid iliyopita siku mbili mfululizo ndani ya siku za kazi na tena bado hiyohiyo labda tugawane. Ongezea kidogo basi walau ifike 2,000 kwa saa, potelea mbali ntatinga ndani ya nyumba-tena ukitaka hata iwekee na Password yako!
 
nakuja kuchukua mwanaume wa ushwahiini huko dar, sitaki sharobaro hata kidogo
eti nini????? Hapa bongo/dar ambae hana kabisa anao kama wanawake wanne hivi.(labda upate mwana jf ambo kwa kweli tumetulia)
 
utadhani huna dada aliyeolewa kwa namna unavyoandika
<br />
<br />
Samahani dada, nina dada pia na wameolewa pia na wanaume zao wanawasambua sijapataona! I hate them....nilisema vile kwasababu ya kuona dada zangu wanavochezewa na jamaa hawa ila mie mke wangu nampenda na kumheshim
 
Jamani mtu unayemtaka huyu hapa.mungu amejibu maombi.iwas pryng everyday of hw can iget aperson lke u.2day am going 2start a new chpter of my lfe.iblv ua th one th god shwed me ystday whle pryng.yes,ua th one and ilv u much.god told me since uar old enough and u neva nanihii iwl gv u someone 2take care of u and u shal respect ha thruout uar lfe.and said yes 2god.am also amasai and am asubtitute 2th curent one.bt plz am ugly so acept me th way am since it is a god. wish.dnt reject me as iwl hung myself.
 
Back
Top Bottom