Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

Nataka kulea mwanaume, awe wangu pekee yangu

polesana ndugu ukitaka mme wa pekeyako labda umwumbe mwnyewe.
 
Habari ya siku nyingi Marytina???!!.........Pole mwaya, usikate tamaa, tulia mwombe Mungu atakupa kijana mzuri mtulivu ambaye utaishi naye kwa ndoa! All the best!
nimekumiss wewe
avatar35350_2.gif

KH i hope wewe mzima
SITAKI KIJANA MWINGINE zaidi ya huyo Mmassai, nampenda sana ila ananisumbua kwa sasa.
Nahisi mungu hatakuwa amenitendea haki akiruhusu aniache

otherwise ni bora nilee mwanaume
 
@Arusha,baba mngoni, mama mchagga.

wa kwanza alikuwa mhaya akaniniletea ubisho/utoto tukamwagana

Nikahamisha mawazo from mabrazameni nikatua kwa Mmasai hoping that hatanisumbua and with time nikampenda sana na bado nampenda.Ila kuna mdada wa kimasai karudi masomoni America naona na niseme wazi keshanivurugia penzi langu.

Nahisi kuachika na nawaza hivii: IKIWA NTAACHIKA NTATAFUTA MAN ASIYEMSOMI,NOT HANDSOME, MWENYE ROBO YA KIPATO CHANGU,ALIYEVUSHA UMRI WA KUOA, ETHNICAL MAN

nina net salary ya 630,000 naammini naweza kumnunua mwanaume aliyejichokea maisha wa uswahilini ARUSHA awe wangu peke yangu as nimechoka kuteseka
Nataka mwanaume legelege mtoto wa mama nitakayemdhibiti
nina vigezo
 
umenikumbusha Michelle
nilimpenda sana na naturally nilimwogopa
yaani sikuwa naweza posts mambo flani flani kwa kuogopa karipio la michelle
i lv her so much!!!!nimemiss sana

Umenipa bitter sweet memories of her... Tumshukuru tu Mungu she is well and good.
 
nimekumiss wewe
avatar35350_2.gif

KH i hope wewe mzima
SITAKI KIJANA MWINGINE zaidi ya huyo Mmassai, nampenda sana ila ananisumbua kwa sasa.
Nahisi mungu hatakuwa amenitendea haki akiruhusu aniache

otherwise ni bora nilee mwanaume

Mi mzima Marytina. Pole sana. Ila hilo wazo la kulea mwanaume wala mimi siliungi mkono, utakuja kuumizwa zaidi! Bora tulia tu kwa huyo mmasai wako.
 
Umenipa bitter sweet memories of her... Tumshukuru tu Mungu she is well and good.
micchelle alikuwa brain govenor yangu
sikuwa nabishana naye mara tatu manake niliishia kujishtukia
 
Mie safi kabisa... angekua me ingekua wimbo wa "I need a gal" Sasa Marytina ni mdada... naona fanya homework... Mzima wewe?
<br />
<br />
Mi mzma bwana,vp majukumu?
Mwambie aangalie aveta kama atapenda watoto wa mlima huo ani Pm.
 
Jamani AD, kama una mawasiliano naye, please mpe salaam zangu! For sure I miss her dearly



Salam zimefika Mpenzi... ila nakushauri umPM... Anaweza delay but she will definitely get back to you... Karen... Umeulizwa kama mzima hapo nyuma na ukasema you are good - ndio maana leo nikakupita bila salamu....lol... Mie mzima pia.
 
Back
Top Bottom