- Thread starter
- #121
nimejaribu iwezekanavyo kuhakikisha hanitoki ila sipendi his current move na mdada flani, sijaumbwa kuumia kiasi hiki but la muhimu bado nipo nayemi mzima marytina. Pole sana. Ila hilo wazo la kulea mwanaume wala mimi siliungi mkono, utakuja kuumizwa zaidi! Bora tulia tu kwa huyo mmasai wako.