Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

malemba

Senior Member
Joined
Dec 6, 2022
Posts
158
Reaction score
122
Naona kimya kimetawala kuhusu update ya michango ya baraza kuu la chadema. Je lengo limetimia au vipi?

Kama lengo limetimia mbona hamuwaambii watu waache kuchangia?
 
IMG-20260817-WA0085.jpg
 
Hawana watu , mtoto wa zuchu alishaipata ndani ya siku tatu tu ..Kama wangekuwa na wanachama wale matajiri kama wa katoro basi ni siku mbili tu , maana wale kutoa mil 100 kama buku tu ..CHADEMA ni wapiga domo tu , hawana kipya , iko hivyo hata wapiga kura wao .
 
Hawana watu , mtoto wa zuchu alishaipata ndani ya siku tatu tu ..Kama wangekuwa na wanachama wale matajiri kama wa katoro basi ni siku mbili tu , maana wale kutoa mil 100 kama buku tu ..CHADEMA ni wapiga domo tu , hawana kipya , iko hivyo hata wapiga kura wao .
Cha ajabu ikitajwa huko Lumumba mnatetemeka kuliko hata kikitajwa chauma chenye wafuasi nchi nzima.
 
Hawana watu , mtoto wa zuchu alishaipata ndani ya siku tatu tu ..Kama wangekuwa na wanachama wale matajiri kama wa katoro basi ni siku mbili tu , maana wale kutoa mil 100 kama buku tu ..CHADEMA ni wapiga domo tu , hawana kipya , iko hivyo hata wapiga kura wao .
Akil zako zmejaa mav matupu fck
 
Hawana watu , mtoto wa zuchu alishaipata ndani ya siku tatu tu ..Kama wangekuwa na wanachama wale matajiri kama wa katoro basi ni siku mbili tu , maana wale kutoa mil 100 kama buku tu ..CHADEMA ni wapiga domo tu , hawana kipya , iko hivyo hata wapiga kura wao .
Mi naona kiuhalisia hapo imeonyesha chadema ndio Ina watu wengi sana, watu wanachanga bukubuku wengine miamia, mpaka imefika hapo maana yake wanawatu wengi sana, tofauti na kama ingechangwa na matajiri wawili au watatu huwezi kujua unaungwa mkono na watu kiasi gani.

Halafu pia matajiri wanaoipenda chadema sio kwamba hawapo, wapo sana tuu, ila sasa uhakika wa maisha Yao na biashara zao kwa ujumla utakua salama kiasi gani baada ya kuichangia chadema?
 
Unatokea Tanga, lakini mambo yako kama ya mkazi wa Mchambawima! Mara uongelee habari ya mtoto wa Zuchu! Mara hawana pesa bhana!!
Watu wa Tanga mbona hatuna swaga hizi za kwako?
Unaambiwa ukweli , mimi na wewe sio ndugu bro , acha shobo ...Mtanga wa kweli hawezi kuwa chawa wa CHADEMA, endelea kunywa pombe za ofa .
 
Mi naona kiuhalisia hapo imeonyesha chadema ndio Ina watu wengi sana, watu wanachanga bukubuku wengine miamia, mpaka imefika hapo maana yake wanawatu wengi sana, tofauti na kama ingechangwa na matajiri wawili au watatu huwezi kujua unaungwa mkono na watu kiasi gani.

Halafu pia matajiri wanaoipenda chadema sio kwamba hawapo, wapo sana tuu, ila sasa uhakika wa maisha Yao na biashara zao kwa ujumla utakua salama kiasi gani baada ya kuichangia chadema?
Shule tatizo kwa vile unaamini kukinukisha ni harufu nzuri , huu ujinga peleka huko porini kwenu ...Tanzania ina watu mil 65 -70 , sasa chukua watu mil 1 tu , kila mmoja atoe buku ni shilingi ngapi ?

Shule tatizo nyie machawa wa Lissu. 😀 😀
 
Zenji ni ndugu zetu kuliko wewe , so hauwezi kuwa mtanga ukawa chawa wa CHADEMA ni msaliti ...Chama cha kanisa hakituhusu hata siku moja .
Changia CHADEMA ikukomboe kutoka kwenye huu mnyororo wa kuwalamba binadamu wenzako miguu. Kumchangia mtoto wa Zuchu hakutakuletea ukombozi wowote ule, ukiwemo ule wa kifikra.
 
Changia CHADEMA ikukomboe kutoka kwenye huu mnyororo wa kuwalamba binadamu wenzako miguu. Kumchangia mtoto wa Zuchu hakutakuletea ukombozi wowote ule, ukiwemo ule wa kifikra.
Haiwezekani , hiko ni chama cha TEC. watoe pesa za sadaka ..Kila kiongozi anaitwa ''john'' so hakinihusu . Mkitutukana watu wa pwani, mnatukana wote mpaka zenji .Hivyo, zenji ni ndugu zetu .
 
Back
Top Bottom