Nataka kujenga, nina laki 5 mkononi

Nataka kujenga, nina laki 5 mkononi

Unaweza kujenga kwa hio hela chamsingi nunua bati 15 za kuezeka alafu tafuta fundi mmoja njaa na ww uwe saidia fundi mkuu laki 5 nyingi hio na material unayo mbona fasta tuu..

KAMA UKISHINDWA
nunua mabati yale reject moja ni elfu 9 nadhani unaweza nunua hata mabati 30 kwa laki 270 alafu nyingine laki 2 na 30 nunua mbao 20 za 2*2 moja inauzwa 3500 kwa elfu 70 then tafuta fundi kwa elfu 50 anakukarabatia kibanda hicho utabakiwa na chenji laki na nusu utaongezea ongezea hapo kitakachopelea

Sent using Jamii Forums mobile app
Milango na madirisha?
 
Nlifikiri kama wewe kipindi flan, nikazama benk kubebe loan 10m nikasnzs ujenz, nikiwa na hesabu zangu kwenye karatasi, ilivyoisha renta nlikuwa na 2m mfukoni, saiz nyumba imefikisha 38mil bado slminium vingine vyote tayr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana . Mtafute fundi ambae ni rafiki yako kabisa alafu
Mwambie kwa sasa sina pesa ila utampa elfu hamsini 50000
Lakini utamlisha chakula
Kibarua wa kuchanganya udongo na kusogeza tofari utakuwa wewe mwenyewe
Nunua mchanga wa laki moja na nusu
Nunua cement
Na kokoto
Anzeni kazi
 
Nimenunua tofali 400 nimebakiwa na laki 5 natafuta mtu mwenye akili nyingi aniambie jinsi ntakavyokamilisha hata chumba kimoja na kuhamia ikibidi kabaki kachenchi hata elfu 5.
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni
Uza hizo tofali kisha kanunhe milunda na ujenge nyumba ya tope
 
hivi ni kwa nini uwe na haraka ya kukomenti wakati hujasoma bandiko?
Nunua mchanga wa 60000,waka uwanjani endelea kutafuta pesa
Jamaa kasema mchanga anao wa kutosha, 😔!!

kwa ufupi 5kl itampa chumba kimoja ila hataezeka kwa bati labda aweke turubai zile za elfu15,000 kisha ahamie hapo ili awe na uchungu.
 
hivi wabongo tumedanganywa na nani maendeleo ni kujenga tu,mbona wahindi wengi ni matajiri na wana biashara kubwakubwa tu lakini wanaishi nyumba za NHC.kajitu kamepata hela ya kubadilisha mboga kanataka kajenge chuma kama choo ili aonekane nae kajenga mi nilidhani utaomba ushauri wa biashara gani ufanye ili ukuze mtaje baadae utumie profit kujiendeleza hatimae ujenge ukiwa umerelux .akili ya kukremishwa mbaya sana
 
Back
Top Bottom