Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,845
- 4,776
Nimenunua tofali 400 nimebakiwa na laki 5 natafuta mtu mwenye akili nyingi aniambie jinsi ntakavyokamilisha hata chumba kimoja na kuhamia ikibidi kabaki kachenchi hata elfu 5.
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni