bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Hiyo pesa ni nyingi mno, nunua bati kama sita, afu tumia fundi unayemlipa kwa siku elf 10 na kibarua 5, utatumia siku 4. Tengeneza mlango na madrisha ya bati hamia.Nimenunua tofali 400 nimebakiwa na laki 5 natafuta mtu mwenye akili nyingi aniambie jinsi ntakavyokamilisha hata chumba kimoja na kuhamia ikibidi kabaki kachenchi hata elfu 5.
Pia nina mifuko 10 ya cement na mchanga wakutosha Karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app