ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,293
- 7,154
Kwahiyo wewe ht honeymoon hutaki waende duuuHiyo nzuri sana mnaenda kanisani asubuhi mnamaliza kufunga majukumu mengine yanaendelea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo wewe ht honeymoon hutaki waende duuuHiyo nzuri sana mnaenda kanisani asubuhi mnamaliza kufunga majukumu mengine yanaendelea.
Inawezekana mkuu, Mimi nikikumbuka yakwangu mbaka nacheka.
Nilishtukizatuu watu wakashangaa ninafungandoa wakaja kanisani ilenatokatu naingia kwenye kimeochangu na wife naona watu rundo wananipigia vigelegele na magari yananifuata sijui ilikuwaje wengine nikawakuta home dah nilishangaasana.
Walinilaumu sana, wakajichangisha michango ya gafla waka nunua gambe sherehe ikawa hapohapo nyumbani hadi saa saba usiku maana kadiri muda ulivyokuwa unakwenda ndio walikuwa wakipigiana cm na kuongezeka.
Kwakweli sikuamini.
Mimi nimchangiaji mzuri wa harusi za wenzangu lakini yangu sikutaka kusumbua mtu nikaamua kufanya kimyakimya.
Hio itakuwa ya kijeshi mkuuNtarudisha mrejesho hapa nikishamaliza shughuli.
AyaaaMkuu uko sahihi sana, Mimi mwenyewe tarh 28 mwezi huu nafunga ndoa kama yako, mke wangu ni mwalimu hivyo kuwachangisha watu ni kuwasumbua tu, mungu akubaliki sana mpendwa
Chek na uyuMkuu mimi mwenyewe nataka kufanya hivyo mwenzi wa 12
Kumbe mko wengSafiii saaana mkuu..nakuunga mkono..hata Mimi nipo njiani kufanya hivi hivi..mungu akusimamie mlitimize
Wanaume vyuma vimekaza naona ubunifu mpyaaaMbona poaw tu Hiyo Kiongozi wanguu mm mwenyewe mwakani nafanya hvyo, na sio kwamba fedha sina but naona ni usumbufuuu tu mambo mengne tunacomplicate sana shereheee , fedha na muda oia
Aya sasaKuna jamaa yangu kafunga juzi tulienda kanisani watu kama 10 mpaka padri alishangaa maana hapakua na shangwe lolote lkn padri alisema amependa iyo staili na kwenye mahubiri yake alisema ndoa ni watu wawili na wazamini wao mengine ni mbwembwe lkn kibaya yule jamaa yangu alichangisha watu
Wachek na hawaMkuu achana na sherehe Ni gharama tu ambazo baadae unajuta Kama unataka mke achana na sherehe mtasherehekea chumbani
Magu nomaMimi mwenyewe nataka kama hiyo pale kibangu
AseeeHata mimi nataka kufunga ya hivyo, ila mama watoto kagomea, nilimwambia sipo tayari kwa sherehe maana sina hela akiwa tayari kufunga ya kimya anijulishe.
Akili zimekaa sawa tunabana matumizDuh! Ngoja na mimi nikaoe aisei make kujipanga na harusi hatimaye uhenga utanikutiliza sasa..!
Hata wwNdio mpango wangu huo, nitaenda kufunga ndoa. Tukimaliza tunaenda zetu honeymoon, watu wanaosubiria sherehe wakafanyie kwao.
UsijalFunga tu mkuu, hata mimi muda si mrefu nafunga ya namna hiyo.
Usiogope sema ogopa sababu ya kuogopaWewe una fikra kama zangu sema muoga tu.
DuhMimi pia mwez wa 10 napiga ivoivo biashara za kuanza kulipa madeni baada ya harusi cztak..
Kumbe wenye mawazo ya aina yako tupo wengi,ubarikiwe na azma yako mkuu
Wafanyie tu nyumbaniKwahiyo wewe ht honeymoon hutaki waende duuu
Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii...
Unaisoma namba kwa visingizio. Anyway ndoa inafungwa hata bila shereheHii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Ila atakaa poaNamwonea huruma mnoo he's my blood brotha
.....kingine ni mtu peace mnoo, akiwa na hela ujue shida zako zimeisha kwa mda!
Amen mkuuIla atakaa poa
We jamaa ni noma sana duhAyaaa
Chek na uyu
Kumbe mko weng
Wanaume vyuma vimekaza naona ubunifu mpyaaa
Aya sasa
Wachek na hawa
Magu noma
Aseee
Akili zimekaa sawa tunabana matumiz
Hata ww
Usijal
Usiogope sema ogopa sababu ya kuogopa
Duh
Atakuwa bidada huyoo...mwanamke ndoa bila harusi anaona ni matusi makubwa kwake!
Watu tumetofautiana asee....nilivyo na uchungu na hela, halafu kirahisi rahisi ikalipiwe ukumbi, sijui Gari la kutubeba, kunywesha watu bia! Mume wangu hajafanya huo upuuzi nikamvumilia!
Nimeipenda hii mkuu.Hata mimi nataka kufunga ya hivyo, ila mama watoto kagomea, nilimwambia sipo tayari kwa sherehe maana sina hela akiwa tayari kufunga ya kimya anijulishe.
Afanye "Bridal shower" ambazo huwa hazituhusu kwa kweli. Harusi ni mipango ya mwanaume. Hapa simama. Hizi sherehe zingekuwa biashara tungekuwa mamilionea. Jinsi unavyosumbuka kisaikolojia mpaka hiyo sherehe ifanikiwe. Hapana. Ifike wakati tubadilike. Tatizo hawa wenzetu wanataka kuonekana!Aisee ulijuaje maana hata mimi pia huwa sipendi complications maishani.Ikibidi hata nisichangishe watu kabisa, Ila nahisi bibie lazma agome wanawake hawa wana kasumba ya kutambiana.
Hapa hesabu video & photoshoot kali, ukumbi mkali, gari ya kifahari ya kutubeba on the event havikwepeki aisee.
Kaka angu alifanya sherehe ya harusi yake kwa gharama ya milioni 50...mpaka Leo anajuta!