Divine...
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 1,615
- 3,117
Nimeona, nikitulia nitakujibu. Endelea na ya mwanzo usijikite sana ktk hilo jambo. Nitakujibu next week nitakuwa free vzr kuandikaDada divine nime Ku pm
Nimeona, nikitulia nitakujibu. Endelea na ya mwanzo usijikite sana ktk hilo jambo. Nitakujibu next week nitakuwa free vzr kuandikaDada divine nime Ku pm
Sawa Dada angu asanteNimeona, nikitulia nitakujibu. Endelea na ya mwanzo usijikite sana ktk hilo jambo. Nitakujibu next week nitakuwa free vzr kuandika
Kisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.
Haina madhara kabisa, tena zinadumu kuliko za sherehe kwenye boat na kumbi mbalimbali.
Ila ya kwangu lazima niwachezeshe kwaito kama navozicheza mimi now
Wazungu wenyewe waliobuni maswala ya ndoa kufungwa kanisani huwa wanaenda wanne tu kanisani then pete ikivalishwa wanasepa zao sisi ma ngedere tunacomplicatisha mpaka magari ya matangazo ,ukumbi wa mil kadhaa mara gari la matangazo,mara chereko cherereko damn it inaudhi kichiziHii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Mkuu uko sahihi..mimi mwenyewe hiyo kitu ya sherehe ndo big problem...nilimwambia sherehe sio ishu...cha msingi ni pale kanisani Mungu kubariki kupitia mtumishi wake
..akanigomea anasema eti yeye ataonekanaje kwa wenzake?eti mwanadada ana siku mbili muhimu mbili siku ya kufa na siku anayo olewa.....
Yaani shida tupu!
Na engagement day( kuvarishana Pete ya uchumba ) - kuna umuhimu wa sherehe.
Vipi kuhusu SEND OFF- Kwa mwanamke , napo sherehe inaweza kupita kimya kimya
Naomba mawazo yenu juu ya hilo
Hakuna ulazima wowote.Hiv kuna ulazima wa SEND OFF kwa mwanamke.
Hata kama anaishi Mkoa mwengine Na anaolewa sehemu nyingine
Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Unabariki ndoa au unafubga ndoa?Mkuu uko sahihi sana, Mimi mwenyewe tarh 28 mwezi huu nafunga ndoa kama yako, mke wangu ni mwalimu hivyo kuwachangisha watu ni kuwasumbua tu, mungu akubaliki sana mpendwa
Mkuu naweza funga nawe kama hiiHiyo nzuri sana mnaenda kanisani asubuhi mnamaliza kufunga majukumu mengine yanaendelea.
Nafunga ndoa mkuuUnabariki ndoa au unafubga ndoa?