FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Fanya hivyo hivyo hiyo ni mipango yako
all the best
all the best
Utaweka mfano wa kuigwa ila inabid isiwe weekend funga siku za kazi watu wapo busy hakuna wa kukufuatilia.utapunguza maneno
Nakuunga mkono100% kazi yakukusanya michango si mchezo kipindi hikiHii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
ni kweli mkuu aisee tuache kukaririMkuu, nilisimamia harusi ya kijana mmoja anasoma UDM ilikuwa simple sana, haikuwa na michango wala nini, kijana baada ya kutoka kanisani, hafla ilifanyika uwanja wa maonyesho wa mal Nyerere tena nje siyo ukumbini, watu walidhani ni kikao cha harusi baada ya kujua ni sherehe ya harusi walisogea kuona maana hawakuamini. Nilimpongeza sana kijana yule kwa kumuambia watu tunasoma kujikomboa kifikra na siyo kufanya mumbo kwa kukariri, tunakuwa watumwa wa mawazo ya watu. Tukatae.
Safanya linalowezekana hali ni tete!Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Hata ktk uislam hakuna sheria ya ndoa ni sherehe hakunaaaSheria ipi mkuu? Labda kwa upande mwingine; Ila kwa Wakristo hakuna Sheria; Neno la Mungu linasema ivi Ukiwa na Neema uko juu ya Sheria, Simply ni kwamba ukiwa na Neema ya Mungu Sheria haikusumbui.
Labda useme ni Sherehe ni Utamaduni na sio Sherehe ni Sheria.
Tena kiislam hizi ndoa za kichamunguSheria ipi mkuu? Labda kwa upande mwingine; Ila kwa Wakristo hakuna Sheria; Neno la Mungu linasema ivi Ukiwa na Neema uko juu ya Sheria, Simply ni kwamba ukiwa na Neema ya Mungu Sheria haikusumbui.
Labda useme ni Sherehe ni Utamaduni na sio Sherehe ni Sheria.
Usichangishe, fanya harusi kwako ila angalia mimi yalinikuta haya:Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
285 LIKESUtaweka mfano wa kuigwa ila inabid isiwe weekend funga siku za kazi watu wapo busy hakuna wa kukufuatilia.utapunguza maneno
Hahaha umeona eeehMimi pia mwez wa 10 napiga ivoivo biashara za kuanza kulipa madeni baada ya harusi cztak..
Namwonea huruma mnoo he's my blood brothaUjinga huo, we put money on long term investments...Mwambie apambane na hali yake, ufahari huo sionagi maana yake!
Uko sawa, sherehe ni mbwembwe tu hazina kizuizi ktk kufunga ndoa. Tena ndoa ikiisha unamwambia na mkeo tangulia nyumbani mimi naenda kuangalia mpira.Hii imekaaje wazee mwezi December nataka kufunga ndoa KKKT Mbezi Dar. Sasa watu wananishangaa kwanini sichangishi na wala siwaambii.
Mchungaji wangu ameniambia kazi yake ni kufungisha ndoa hayo ni ziada,
Hii imekaaje? Au mimi ndio wa kwanza kufanya hivi?
Sheria ipi, itaje ni kifungu gani cha sheria.Tuanzie hapo. Ndoa ndiyo ipo kisheria siyo sherehe.Kisheria ndoa lazima iwe na sherehe.Ingawa sheria ya ndoa haijasema sherehe iwe vipi.Kwa hiyo fanyeni sherehe hata ya watu kumi tu haina tatizo.