BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Kua na msimamo mkuu,kama wewe na mwenzio mmeamua hivyo bas ni fresh, sherehe yenu iwe honeymoon yenu
unajua ni kasumba tu kwa baadhi ya waafrika kwamba lazima lisherehe likubwa na wakat you can do something good and simple for both of you
unajua ni kasumba tu kwa baadhi ya waafrika kwamba lazima lisherehe likubwa na wakat you can do something good and simple for both of you