Introverted
Member
- Oct 25, 2022
- 8
- 15
Mimi ni kijana wa miaka 22 nimemaliza chuo mwaka huu nina degree ya kodi, baada ya kumaliza chuo kuna sehemu ya biashara nilipata ya mgahawa iko pwani.
Wiki mbili za mwanzo biashara ilienda vizuri lakini baada ya hapo kila tukipika chakula kikawa kinabaki maana kwenye suala la wateja baada ya kupika nlikua nazunguka kuchukua oder.
Usafi nilizingatia sana ila suala ambalo lilikuja kuniangusha nahisi ni kwenye bei maana chakula tulikua tunauza 1500/= ndiyo bei za huku baada ya mwezi ilibidi ugali niuze sh 2000 kutogana na gharama ambazo tulikua tunazitumia kwenye mboga, tangu tupandishe bei ya ugali mambo yamebadilika watu hawaji kula chakula kinabaki cha kutosha wale wateja nliokua nawafata wamerudi kwa watu wao walipokua wanakula zamani maana hapa nimezungukwa na mama ntilie kama watatu hivi.
Chakula kinabaki kingi inabidi niwe nakopa naongezea kwenye biashara ila madeni yanazidi kuongezeka nimekata tamaa na hii biashara ya chakula na hata nkisema niache!
Sijui nifanye nn jamani ni wiki mbili kila siku wali unabaki kama kilo mbili na ugali unakuta inabaki kama sahani saba hivi nisaidieni binti yenu jamani.
Wiki mbili za mwanzo biashara ilienda vizuri lakini baada ya hapo kila tukipika chakula kikawa kinabaki maana kwenye suala la wateja baada ya kupika nlikua nazunguka kuchukua oder.
Usafi nilizingatia sana ila suala ambalo lilikuja kuniangusha nahisi ni kwenye bei maana chakula tulikua tunauza 1500/= ndiyo bei za huku baada ya mwezi ilibidi ugali niuze sh 2000 kutogana na gharama ambazo tulikua tunazitumia kwenye mboga, tangu tupandishe bei ya ugali mambo yamebadilika watu hawaji kula chakula kinabaki cha kutosha wale wateja nliokua nawafata wamerudi kwa watu wao walipokua wanakula zamani maana hapa nimezungukwa na mama ntilie kama watatu hivi.
Chakula kinabaki kingi inabidi niwe nakopa naongezea kwenye biashara ila madeni yanazidi kuongezeka nimekata tamaa na hii biashara ya chakula na hata nkisema niache!
Sijui nifanye nn jamani ni wiki mbili kila siku wali unabaki kama kilo mbili na ugali unakuta inabaki kama sahani saba hivi nisaidieni binti yenu jamani.