Kwenye hii dunia sio kila mtu ni mfanyabiashara, acha wengine tuendelee kuwa wateja

kante mp2025

Member
Nov 11, 2022
7
13
Stamara wajada ni msingi kwenye kila kitu tunachokifanya, Kama wanasiasa wasemavyo vijana tujiajiri huku wao wakiendelea kukaa maofisini na wengine wakiroga waendelee kubaki kwenye hizo nafasi.

Kijana wa kimaskini nikasema ngoja nirushe ndoana katika ulingo wa biashara ndogo ya mtaji wa kawaida usiozidi laki tano.

Baada ya kusoma vitabu vya mashujaa wa ulimwengu wa biashara kama guru Robert Kioyasaki, na kupitia nondo za wakuu mbalimbali kama ontario nikajisemea kwa hizi maarifa nikirusha ndoana lazima inase

Basi bhana baada ya kumaliza masomo kwa kuwa mipango na maarifa nilikuwa nayo nikaingia kwenye biashara ya mitumba maana mataikuni walinitonya kuwa ni biashara ambayo bei unajipangia wewe kutokana na mteja aliyekuja.

Ukikosa stamara wajada katika biashara kuangukia pua ni kitendo cha kufumba macho na kufumbua , Ugeni katika biashara hiyo uliniponza vibaya sana kwani badala ya kwenda kuchagua nguo moja moja, nikaingia mzima mzima kwa kununua balo zima nikaambiwa hili ni first grade nikawapa pesa nikapewa mzigo kutoka mji mmoja mkubwa kwenda nao huko ndichi.

Shauku ya kujua yaliyomo ndani ilikuwa kubwa nilipofika tu geto nikasema jambo la kwanza ni kufungua kujua yaliyomo yamo,😁Kwa kweli ukisikia suprise basi nilipigwa suprise hadi miguu ikaishiwa nguvu na kuamini stamara wajada ni muhimu sana robo tatu ya viwalo vilikuwa kama zile nyanya masalo,😁kuna suruali zilikuwa zimetoboka, shati hazina kola, nililia kwa mayowe.

Nilipompigia mkuu wa wakuu aliyeniuzia kujua ananisaidiaje simu ikawa haipatikani, nikafunga safari kumrudia kesho yake nikakuta pamefungwa nilipoulizia wenyeji wakasema kahama muda mfupi uliopita😁

Nikajua bush boy nishaingizwa mjini, nikagugumia maumivu stamara wajada ikanisaidia zile nguo ikabidi nizipige mnada wa hasara kwa kuuza hata kwa mia mbili kwa mia tatu ikarudi hela kama ya kula kuku watano na bia kreti moja.

Nikagundua kwenye hii dunia sio kila mtu ni mfanyabiashara acha wengine tuendelee kuwa wateja😁Sema nawaheshimu sana wajasiriamali na wafanyabiashara bila stamara wajada biashara hutoboi.
 
Pole sana mkuu, biashara yeyote ukiivamia bila kujua utaanzia wapi kuanzia mwanzo hadi mwisho ni taabu tupu. Ni muhimu kujua ABCD kabla hujawekeza fedha na muda.
 
Stamara wajada ni msingi kwenye kila kitu tunachokifanya, Kama wanasiasa wasemavyo vijana tujiajiri huku wao wakiendelea kukaa maofisini na wengine wakiroga waendelee kubaki kwenye hizo nafasi.

Kijana wa kimaskini nikasema ngoja nirushe ndoana katika ulingo wa biashara ndogo ya mtaji wa kawaida usiozidi laki tano

Baada ya kusoma vitabu vya mashujaa wa ulimwengu wa biashara kama guru Robert Kioyasaki, na kupitia nondo za wakuu mbalimbali kama ontario nikajisemea kwa hizi maarifa nikirusha ndoana lazima inase

Basi bhana baada ya kumaliza masomo kwa kuwa mipango na maarifa nilikuwa nayo nikaingia kwenye biashara ya mitumba maana mataikuni walinitonya kuwa ni biashara ambayo bei unajipangia wewe kutokana na mteja aliyekuja.

Ukikosa stamara wajada katika biashara kuangukia pua ni kitendo cha kufumba macho na kufumbua , Ugeni katika biashara hiyo uliniponza vibaya sana kwani badala ya kwenda kuchagua nguo moja moja, nikaingia mzima mzima kwa kununua balo zima nikaambiwa hili ni first grade nikawapa pesa nikapewa mzigo kutoka mji mmoja mkubwa kwenda nao huko ndichi.

Shauku ya kujua yaliyomo ndani ilikuwa kubwa nilipofika tu geto nikasema jambo la kwanza ni kufungua kujua yaliyomo yamo,😁Kwa kweli ukisikia suprise basi nilipigwa suprise hadi miguu ikaishiwa nguvu na kuamini stamara wajada ni muhimu sana robo tatu ya viwalo vilikuwa kama zile nyanya masalo,😁kuna suruali zilikuwa zimetoboka, shati hazina kola, nililia kwa mayowe

Nilipompigia mkuu wa wakuu aliyeniuzia kujua ananisaidiaje simu ikawa haipatikani, nikafunga safari kumrudia kesho yake nikakuta pamefungwa nilipoulizia wenyeji wakasema kahama muda mfupi uliopita😁

Nikajua bush boy nishaingizwa mjini, nikagugumia maumivu stamara wajada ikanisaidia zile nguo ikabidi nizipige mnada wa hasara kwa kuuza hata kwa mia mbili kwa mia tatu ikarudi hela kama ya kula kuku watano na bia kreti moja.

Nikagundua kwenye hii dunia sio kila mtu ni mfanyabiashara acha wengine tuendelee kuwa wateja😁Sema nawaheshimu sana wajasiriamali na wafanyabiashara bila stamara wajada biashara hutoboi.
Mtumba mkuu sio biashara ya kuingia kichwa kichwa. Ulitakiwa ukafanyr research wanazouza huko maskoni wanachukua wapi na kwa Nani. Nadhani ulichukua belo la nguo za watoto mana ya wakubwa hayatoi shati na suruali balo Moja, am I wrong?
 
Stamara wajada ni msingi kwenye kila kitu tunachokifanya, Kama wanasiasa wasemavyo vijana tujiajiri huku wao wakiendelea kukaa maofisini na wengine wakiroga waendelee kubaki kwenye hizo nafasi.

Kijana wa kimaskini nikasema ngoja nirushe ndoana katika ulingo wa biashara ndogo ya mtaji wa kawaida usiozidi laki tano

Baada ya kusoma vitabu vya mashujaa wa ulimwengu wa biashara kama guru Robert Kioyasaki, na kupitia nondo za wakuu mbalimbali kama ontario nikajisemea kwa hizi maarifa nikirusha ndoana lazima inase

Basi bhana baada ya kumaliza masomo kwa kuwa mipango na maarifa nilikuwa nayo nikaingia kwenye biashara ya mitumba maana mataikuni walinitonya kuwa ni biashara ambayo bei unajipangia wewe kutokana na mteja aliyekuja.

Ukikosa stamara wajada katika biashara kuangukia pua ni kitendo cha kufumba macho na kufumbua , Ugeni katika biashara hiyo uliniponza vibaya sana kwani badala ya kwenda kuchagua nguo moja moja, nikaingia mzima mzima kwa kununua balo zima nikaambiwa hili ni first grade nikawapa pesa nikapewa mzigo kutoka mji mmoja mkubwa kwenda nao huko ndichi.

Shauku ya kujua yaliyomo ndani ilikuwa kubwa nilipofika tu geto nikasema jambo la kwanza ni kufungua kujua yaliyomo yamo,😁Kwa kweli ukisikia suprise basi nilipigwa suprise hadi miguu ikaishiwa nguvu na kuamini stamara wajada ni muhimu sana robo tatu ya viwalo vilikuwa kama zile nyanya masalo,😁kuna suruali zilikuwa zimetoboka, shati hazina kola, nililia kwa mayowe

Nilipompigia mkuu wa wakuu aliyeniuzia kujua ananisaidiaje simu ikawa haipatikani, nikafunga safari kumrudia kesho yake nikakuta pamefungwa nilipoulizia wenyeji wakasema kahama muda mfupi uliopita😁

Nikajua bush boy nishaingizwa mjini, nikagugumia maumivu stamara wajada ikanisaidia zile nguo ikabidi nizipige mnada wa hasara kwa kuuza hata kwa mia mbili kwa mia tatu ikarudi hela kama ya kula kuku watano na bia kreti moja.

Nikagundua kwenye hii dunia sio kila mtu ni mfanyabiashara acha wengine tuendelee kuwa wateja😁Sema nawaheshimu sana wajasiriamali na wafanyabiashara bila stamara wajada biashara hutoboi.
Biashara ya mtumba, haswa ule wa kufungua bello mwenyewe...inaleta depression na umasikini, yaan hata uwe mjuzi kupigwa lazima.
 
Mtumba mkuu sio biashara ya kuingia kichwa kichwa. Ulitakiwa ukafanyr research wanazouza huko maskoni wanachukua wapi na kwa Nani. Nadhani ulichukua belo la nguo za watoto mana ya wakubwa hayatoi shati na suruali balo Moja, am I wrong?
upo sahihi mkuu next time sifanyi makosa
 
Sasa ukishapata somo kama hivyo unatulia kama mwezi m'moja halafu unarudia tena zoezi this time unakuwa makini na unachofanya.

Hauwezi kufanikiwa kama ukipata changamoto kama hizo unabadili biashara. Hapo umepata shule kuhusu biashara ya mitumba na umejifunza kwa vitendo kesho mtu akikuuzia balo la nguo utataka ujue nini kilichomo.
 
Stamara wajada ni msingi kwenye kila kitu tunachokifanya, Kama wanasiasa wasemavyo vijana tujiajiri huku wao wakiendelea kukaa maofisini na wengine wakiroga waendelee kubaki kwenye hizo nafasi.

Kijana wa kimaskini nikasema ngoja nirushe ndoana katika ulingo wa biashara ndogo ya mtaji wa kawaida usiozidi laki tano.

Baada ya kusoma vitabu vya mashujaa wa ulimwengu wa biashara kama guru Robert Kioyasaki, na kupitia nondo za wakuu mbalimbali kama ontario nikajisemea kwa hizi maarifa nikirusha ndoana lazima inase

Basi bhana baada ya kumaliza masomo kwa kuwa mipango na maarifa nilikuwa nayo nikaingia kwenye biashara ya mitumba maana mataikuni walinitonya kuwa ni biashara ambayo bei unajipangia wewe kutokana na mteja aliyekuja.

Ukikosa stamara wajada katika biashara kuangukia pua ni kitendo cha kufumba macho na kufumbua , Ugeni katika biashara hiyo uliniponza vibaya sana kwani badala ya kwenda kuchagua nguo moja moja, nikaingia mzima mzima kwa kununua balo zima nikaambiwa hili ni first grade nikawapa pesa nikapewa mzigo kutoka mji mmoja mkubwa kwenda nao huko ndichi.

Shauku ya kujua yaliyomo ndani ilikuwa kubwa nilipofika tu geto nikasema jambo la kwanza ni kufungua kujua yaliyomo yamo,😁Kwa kweli ukisikia suprise basi nilipigwa suprise hadi miguu ikaishiwa nguvu na kuamini stamara wajada ni muhimu sana robo tatu ya viwalo vilikuwa kama zile nyanya masalo,😁kuna suruali zilikuwa zimetoboka, shati hazina kola, nililia kwa mayowe.

Nilipompigia mkuu wa wakuu aliyeniuzia kujua ananisaidiaje simu ikawa haipatikani, nikafunga safari kumrudia kesho yake nikakuta pamefungwa nilipoulizia wenyeji wakasema kahama muda mfupi uliopita😁

Nikajua bush boy nishaingizwa mjini, nikagugumia maumivu stamara wajada ikanisaidia zile nguo ikabidi nizipige mnada wa hasara kwa kuuza hata kwa mia mbili kwa mia tatu ikarudi hela kama ya kula kuku watano na bia kreti moja.

Nikagundua kwenye hii dunia sio kila mtu ni mfanyabiashara acha wengine tuendelee kuwa wateja😁Sema nawaheshimu sana wajasiriamali na wafanyabiashara bila stamara wajada biashara hutoboi.
Yani katukio kamoja tu unakatatamaa?! Kweli wewe ni mteja.
 
Back
Top Bottom