by default
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 839
- 215
Thanks a lot, hilo kanisa halina
branch huku mabibo au river side hata?
ubungo TAG?linatazamana na ubungo plaza upande wa kushoto front view
Thanks a lot, hilo kanisa halina
branch huku mabibo au river side hata?
Nakushauri ukamuone Mama Zungu (Rwakatare), Zungu Kakobe, Zungu Mwingira, kama hawa hauwataki pale Mabibo karibia na baa ya Rangers kuna wale waNigeria (wakimashaka) wanahubiri neno la Mungu pia tena wana maajabu ya balaa kama vile nyoka anakutoka tu ghafla mfukoni, mtu kuanguka (msanii) toka juu ya mti huku akilia alitumwa na Mungu kuna wanigeria watamsaidia kuokoka ndipo akaja pale. Mbona makanisa ya hajabu yako mengi tu. Kama unataka ni pm nije nikuchukue nikupeleke ila mwezi ujao kwani kwa sasa niko mbali kidogo.
makanisa kwaajili ya mazingaumbwe siyataki wala ya kulipa hela ili Mungu ajibu sitaki. Nataka kanisa dogo lenye imani ya kweli na unyenyekevu kwa Mungu
Mkuu umenichekesha sana..
ni kweli ila nataka kushirikiana na wenzangu kwenye ibada
Labda kama utaniruhusu nikupe namba ya simu ya mtu ambaye yupo hapo dar then akupeleke coz mm cpo dar latifaNielekeze nina kiu sana jamani
Nimeamua kuwa mkristo natafuta kanisa lakiroho nianzekwenda maeneo ya mabibo hosteli. Sio kanisa la mazingaumbwe noo kanisa la kuijenga roho yangu na uhusiano mzuri na Mungu mwenyezi
nashukuru sana naubarikiwe, basi nitaenda moja wapo ila sasa lipi?Latifaa; imani yapaswa iwe ndani yako na siyo kanisa flani, anza kuamini kwanza ndani ya moyo wako. Pili, kanisa ni nahala na wenzio wenye imani inayorandana, haina ubishi ili kumuona Mungu tunahitaji kujifunza neno lake tena kwa imani. Kukutana na wenzio ili kumtukuza Mungu na kumsifu ni jambo jema zaidi mbele za Mungu kwani inaonyesha umoja na mshikamano wetu mbele za Mungu. Hivyo basi kwa anslysis yangu ndogo ni bora kwenda kwenye makanisa yalio na misingi ya kumtumikia Mungu kwa usminifu, japokuwa baadhi ya wanaoyaongoza wana madhaifu ya kibinadamu, makanisa hayo ni Lutheran, Anglikana na Roman Catholic, sina uhakika na Pentecost. Makanisa ya kiroho siyo mabaya ila hayana system ya uongozi hivyo ni rahisi kwa kiongozi ama viongozi wake kurubuniwa na shetani na hivyo shetani kuchikua nafasi ndayi ya makanisa hayo. Kwanini nasema hivyo? Mskanisa mengi ya kiroho ni mali za watu binafsi, kwamfano kanisa la mama Lwakatware, Mzee wangu Kakobe na kaka yangu Mzee wa upako Lusekelo kwa uchache tukiwataja. Lakini Romani, Anglicans, na Lutheran ni system na hakuna mwenye umiliki na wala siyo Mali ya mtu flani bali mfumo maalumu wa watu kukutana kwa ajili ya kusifu na kuabudu wenye mfumu maalumu wa uongozi unawekwa kwa waamini wenyewe.
Nihitimidhe kwa kusema, kanisa halitskufikisha mbinguni bali imani yako mbele za Mungu na kufuata maagizo ya mwenyezi Mungu kama alivyoagiza. Makanisa yanakusaidia kuikuza tu hiyo imani yako lakini hayana nafasi kubwa ya kukuhakikishia afya yako kiroho.
Nauhakika na naamini kwa sehemu kubwa, japo mi ni mkisto, hata huko ulipokuwa awali, tuseme labda ulikuwa muislamu, ukitenda mema, ukafuata maagizo ya Mungu kwa mwanadamu na kuamini kwa uaminifu, basi pepo na mbingu ni vyako hakuna wa kukuzuia. Hakuna dini bora kuliko nyingine idipokuwa niko tofauti sana ni zile zinazomilikiwa na watu binafsi kama nilivyotangulia kusema hapo awali.
Note: misingi ya dini ya kiisilamu inafanana kwa karibu na Lutheran, catholic, Anglicans tofauti ni namna ya kuabudu tu.
Kwanini msianzishe Kanisa la Wanachama wa JF? Nna uhakika wapo wachungaji humu, wainjilisti, wanakwaya n.k; mnasali kwa Skype na kutoa sadaka kwa Paypal... LMAO...
ok nashukuru je mtandao wakijamii unaozungumzia maswala ya imani kwa wa kristo upo? Iwe wa dhehebu lolote la kikristolatifa, kama ni mwanafunzi hapo mabibo hostel, wasiliana na uongozi wa TAFES AU CASFETA, huwa kuna mabasi ya kuchukua wanafunzi na kuwarudisha kwenda kanisa la TAG, victory christian centre tabanacle, kanisa lipo mbezi beach kawe. kama ni mkazi wa hapo mabibo, nenda kanisa la TAG Sahara lipo barabarani kama unaelekea mabibo mwisho ukitokea ubungo maziwa, au TAG Ubungo karibu na NBC ubungo, au nenda kinondoni TAG Revival church. Roho yako itachengwa vizuri.
Nimeamua kuwa mkristo natafuta kanisa lakiroho nianzekwenda maeneo ya mabibo hosteli. Sio kanisa la mazingaumbwe noo kanisa la kuijenga roho yangu na uhusiano mzuri na Mungu mwenyezi
Nimeamua kuwa mkristo natafuta kanisa lakiroho nianzekwenda maeneo ya mabibo hosteli. Sio kanisa la mazingaumbwe noo kanisa la kuijenga roho yangu na uhusiano mzuri na Mungu mwenyezi
Labda kama utaniruhusu nikupe namba ya simu ya mtu ambaye yupo hapo dar then akupeleke coz mm cpo dar latifa